Gavana Ndulu(BoT): Kufungua akaunti maalum si kosa, fedha kuliwa ni vigumu

Bavicha ni mawakala wa mafisadi
Huyu hapa ni bavicha kumbe
1480138964147.jpg
 
kweli kabisaa anatudanganya vitu ambavyo mtu kujua kama anadanganywa sio mpaka afauli darasa la nne ili kujua kama anatudanganya
ila mara nyingi yuko sahihi,kama lile suala la VAT kwenye miamala.Alisema ukweli na ndivyo ilivyokuwa,TRA wao walipotosha kumfurahisha Rais lakini Ndulu akasema ukweli kuwa gharama zitabebwa na mtumiaji na si mabank.
 
Fixed deposit kwa maana nyingine una ikopesha bank kwa certain rate of interest ....
Nayo bank inachukua hiyo hela na kuweka interest ya juu kidogo then inakopesha wateja wake... hapo mzunguko wa hela unapatikana....
Hakuna hela inayokaa kwenye account alafu ijizalishe... HAKUNA.....
Seleboy2010 soma hii comment utaelewa.Nimesoma comment yako mpaka nikashika kichwa,yaani mawazo yako fixed deposit pesa inakaa tu bank imewekwa.
 
Planned ili ajibu hivyo then atumbuliwe ili paonekane pana uwajibikaji,ni game inachezwa,subirini mtasikia muda si mrefu,swali la uchokozi "kwani gavana atastaafu lini?"
 
Wengine tukipinga tuogopa kufanyiwa ya Lema. Nilishangaa speech ile kuitolea kwa wasomi wale Wa OUT na wao wakawa wanashangilia uamuzi ule; Nilishangaa sana.
Mkuu si umeshasema OUT! Ila kumbuka hata UDSM wakati akiwaita vijana wetu vi.. L... a... za walishangilia mkuu, siku hizi vijana wetu walioko vyuo vikuu ni magonjwa Mtambuka!!!
 
Bwana ndulu Fedha za Mradi zikiwekwa Fixed Account mzunguko wa fedha unahusikia vip maana hapo mimi navyojua hela zikiwa fixed hazitoki baada ya muda kazaa sasa huo muda tutazipata vip hizo fedha zituzungukie?
Du ndg yangu, yaani wewe hujui kuwa zinapowekwa FD kwenye benki hazifungiwi kwenye makabati Bali zinatumika kuwakopesha wanananchi na viwanda wanaokuja kukopa.
 
Kwa mara nyingine tena Gavana wa benki kuu ya Tanzania Prof. Beno Ndulu amegongana tena angani na rais Magufuli.

Wakati rais Magufuli akiwa amepiga marufuku Mashirika ya Umma kuwa na akaunti maalum kwenye mabenki ya biashara, Gavana huyo wa BoT amesema hakuna kosa lolote kuwa na akaunti hizo zijulikanazo kama "fixed deposit" huku akisisitiza kuwa ni vigumu faida itokanayo na fedha hizo kuingia mifukoni mwa wachache.

Gavana huyo wa BoT ni miongoni mwa wajumbe wa iliyokuwa bodi ya wakurugenzi wa TRA ambao walifungua akaunti maalum kwa ajili ya fedha za miradi ya TRA kwenye mabenki ya biashara zaidi ya Tshs. Bilioni 8. 5 ambapo kitendo hicho kilimkasirisha rais Magufuli na kuamua kuivunja bodi hiyo.

Kitendo cha rais Magufuli kuzuia mashirika ya umma kuwa na akaunti maalum kwenye mabenki ya biashara kimetajwa kuwa na madhara makubwa ambapo ndicho hasa kilichoathiri mzunguko wa fedha na kuporomoka kwa uchumi.
Rais hana idea na mambo ya uchumi, lakini nadhani na washauri wake wa mambo ya uchumi watakua vihio au ndio wale wale.

Anyway governor jiandae kutumbuliwa maana mukulu ukweli kwake ni tusi
 
Bado mi naamini mh Rais yuko sahihi...watu wachache walituchezea sana akili! hela imeletwa kwa ajili miradi mbalimbali ndani ya shirika we unaidhinisha iende fixed acc ili riba itakayopatikana uweke mfukoni.....asante sana mh Rais shikilia hapohapo ili na wao waishi kama "mashetani"!!!
 
Wengine tukipinga tuogopa kufanyiwa ya Lema. Nilishangaa speech ile kuitolea kwa wasomi wale Wa OUT na wao wakawa wanashangilia uamuzi ule; Nilishangaa sana.
Ndio wasomi wetu mkuu unategemea wale wakipewa kitengo si yatakua yale yale ya kina ndio mzee
 
Bwana huyu jamaa sijuii anaongea vitu gani maana hela zimewekwa fixed alafu anasema zinaongeza mzunguko jaman jaman muachen rais bhana ajakosea hata kidogo hapo kati ya huyo gavana na raisi gavana ndio anafanya pesa isitufikie huku
Kwani fedha zikiwekwa fixed unadhani benki wanazifungia ndani,zinazungushwa,zinakopeshwa zinaleta faida,acha umbumbumbu
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom