Recent content by Chief Sylver

  1. Chief Sylver

    100% ya wanawake hawafiki kileleni

    Maandalizi duni na pyschological problems huchangia. Wanaume tujifunze kuingia mioyoni mwa wapenzi wetu kwanza kabla ya sex.
  2. Chief Sylver

    Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

    Mpenzi hakopeshwi! Ulifanya kosa sana kumkula. Nakushauri potezea maana ulishaharibu lakini usirudie tena. Nadhani umepata fundisho. Then nenda kwa Mungu uombe msamaha ili uondolewe laana hii.
  3. Chief Sylver

    Ajali mbaya: Basi la Sumry laua 14 huko Singida!

    Japokuwa askari alikuwa na wajibu wa kuwaondoa watu barabarani, lakini wananchi nao walipaswa kujua barabara ni eneo hatari sana. Askari angefanya kazi ngapi sasa?Wananchi wajifunze kutokukaa barabarani kushangaa ajali pindi zinapotokea ajali. Vinginevyo maafa haya yataendelea sana tu.
  4. Chief Sylver

    Aliyenipa mzigo wa unga alivaa kininja

    Thread hii inaniacha na maswali mengi bila majibu. Only simple minds will take it.
  5. Chief Sylver

    Kaspersky 2014 Serial Key

    Bora ukanunue tu brother...
  6. Chief Sylver

    Natembea na mke wa mjeshi

    Yaani wewe hamnazo kabisa. Naona umechoka kuishi.
  7. Chief Sylver

    Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

    Jolyta this is not ignorance.. tofautisha ulemavu na utashi. Mtu ukizaliwa na jinsia mbili au hormone imbalance haimainishi kwamba ndio uanze kufanya mambo ya ushoga. Mfano kuna wanyama na ndege wana matatizo hayo lakini hujawahi ona ngombe, mbwa au kuku wa jinsia moja wakifanya vitendo hivyo...
  8. Chief Sylver

    Mwanamke anapobebeshwa yasiyomuhusu!

    1. Inakupasa ujue kuwa Eva aliondoka na kwenda kuzurura peke yake bila mumewe. Walikuwa mwili mmoja so hakutakiwa kumuacha mumewe... 2. Adam hakujua lile tunda lilichumwa toka mti gani maana hakuwepo wakati linachumwa! So angekataaje kula wakati kapewa na mkewe aliyemuamini 100% kama sehemu ya...
  9. Chief Sylver

    Mwanamke anapobebeshwa yasiyomuhusu!

    Soma vizuri biblia yako Mwanzo sura ya 3
  10. Chief Sylver

    Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

    Mungu hawezi kosea katika eneo kama hilo. Huu ni mchezo mchafu ambao wamezoea na wanaendekeza tu.
  11. Chief Sylver

    Mch. Msigwa azidiwa ghafla na kukimbizwa Hospital

    Hamna kaka. Sina adui nawaombea wooote tu.
Back
Top Bottom