Yote hayo hatukatai lakini tunasema Kanisa linashadidia na kubariki ushoga kwani hata wachungaji wanaoana kishoga na linakubali kuwaoza mashoga.
Na juu kidogo hapo Gavana kaweka link ya kanisa lililopo Mbeya Tanzania linaloshadidia na kubariki ushoga.
Nilikumisije? Najiuliza ff mbona ameadimika namna hii...
Last edited by a moderator: