Natembea na mke wa mjeshi

Natembea na mke wa mjeshi

bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe raha ya milele umpe eeh bwana na mwanga wa milele umwangazie mpilipili apumzike kwa amani...
 
Kazana tu , jamaa yupo kwenye mazoezi ya kuvuka vikwazo Monduli!
comando training in cuba-150x150.jpg
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.
 
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.

Wewe kilaza tena hatari kwa jamii inayokuzunguka mke wamtu wewe nini shida yako
 
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.

Naon kabang inatak vocha hapo...
 
Unajua bt yaonenaka huna uhakika,NOW I MUST ASSURE YOU,YOUR DAYS ARE NUMBERED...ipo day ..
 
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.

Ndugu! kuna walio kushauri uhame huo mtaa bila kuaga! nami pia nakushauri ufanye hivyo kwa faida yako
 
Unadhani atakuua hata hawezi na usiwe na hofu bana we endelea kula mali yake tu
 
Nimejikuta nacheka kabla sijacomment

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Nyie vijana wenye tabia ya kuwalala wake za watu muache, ni tabia mbaya. Naamini wengi wenu mnakwepa majukumu ya kuwahududmia wapenzi wenu na ndo maana hamuishi kutembea na wake za watu.

Acheni tabia mbaya. Wapo wadada wazuri sana, singles, wanajiheshimu sana, acheni tabia mbaya ya kulala na wake za watu....
 
Kaka kinyesi kimekaribia kuku vuja sikufichi lazima uliwe jama usidhani hajui ila unawindwa kaka ni lazima uingiliwe tu ila pia utupe mrejesho wanajamvi tupime ni maumivu kiasigani umepata
 
Back
Top Bottom