Kiukwel ukifuatilia mabadiliko meng ya kiutawala ktk nch nyng lazma utakubali kuwa lowassa anahitajika UKAWA ila kwa masharti ya kuueleza umma ukweli wa kashfa zake,naunga mkono lowassa kuhamia UKAWA
Nahic huyo mzee amepanic manake aliyemtaja mtume ni Madabida na sio lowassa alaf bado ni sehem ndogo ya wasioelewa ndo wamekomalia hili suala.Waje na hoja nzito ktk hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.