Post nyingine ni upuuzi tupu!!!
Lowasa jembe! Hata wewe unayebisha unajua!
Wewe kwli ni mwalim? Ata kuandika kiswahili hujui.Mi mwalimu af simkubali hata chembe... na huo umoja mnaouanzisha et umoja wa walimu komeni, lini tulikubaliana huo upuuzi...,, walimu wa kiivo wameshastaafu tuliobaki hatuna hizo swagger....acheni kutukera
Gazeti la Nipashe linazidi kujishushia heshima yake. Sura halisi ya Mengi inaanza kuonekana.
Ukitaka kujua kuwa Lowasa ni fisadi huhitaji kuumiza kichwa, wewe angalia tu marafiki zake: Chenge, Karamagi, Rostam Azizi na fisadi wa ubungo Bus terminal Kingunge Ngombale Mwiru