Mnaowekwa Profile Picture mnatumika

Mnaowekwa Profile Picture mnatumika

Mm huwa namkataza na ctak aniweke alaf mbona mm huwa simuweki?amuweke mtoto km ana mapenz ya kuweka mtu ktk profile yake
 
Yeah hata mie natoaga ila naniliu tuuu nayo kwa nadra sanaaaa!!


Kitu pesa kinahitajika kitolewe kila siku. Ila hicho kitu naniliu sijui ni nini hiyo naniliu siyo lazima utoe kila siku, kwa nadra inafanya usiichoke. Kila siku ukizoea inakua shida.
 
Wengine wanaweka profile pc za ndug zao kuonyesha ati wanaupendo sana lakini ukiwa mtu makini hakuna amani ya kutosha wala yale anayoyaandika kwenye status ni tofauti kabisa.
Wasap kweny Profile baadhi
Ya watu wamezifanya kama sehemu ya kukomoana.
 
Kitu pesa kinahitajika kitolewe kila siku. Ila hicho kitu naniliu sijui ni nini hiyo naniliu siyo lazima utoe kila siku, kwa nadra inafanya usiichoke. Kila siku ukizoea inakua shida.

Pesa lazima nipewe muda wowote, ila naniliu inatoka kwa nadra ili iendelee kuhitajika.
 
Pesa lazima nipewe muda wowote, ila naniliu inatoka kwa nadra ili iendelee kuhitajika.


Hapana. Pesa unaweza ukapewa kila siku lakini siyo muda wowote. Na hata siku zingine usipewe kabisa kama hakuna ulazima. Unajua nini, kutoa au kutokutoa naniliuu kwa nadra haimanishi ndiyo kigezo cha kuendelea kuhitaji tena na tena. Unaweza ukatoa mara moja na mtu akaghairi kuitaka tena. Unaweza ukawa unatoa mara kwa mara, na mtu akapagawa akawa anataka kila mara. Tatizo ladha.
 
Hapana. Pesa unaweza ukapewa kila siku lakini siyo muda wowote. Na hata siku zingine usipewe kabisa kama hakuna ulazima. Unajua nini, kutoa au kutokutoa naniliuu kwa nadra haimanishi ndiyo kigezo cha kuendelea kuhitaji tena na tena. Unaweza ukatoa mara moja na mtu akaghairi kuitaka tena. Unaweza ukawa unatoa mara kwa mara, na mtu akapagawa akawa anataka kila mara. Tatizo ladha.

Najua sanaa, we unadhani kwanini hela zinazidi kumiminika?? Teh teh, usinichimbe nkaja toa siri za jeshi bureeee, kwaheri.
 
Kuna mtu humu aliweka picha ya mke wa jamaa yake jamaa akamind na anamtafuta amle
 
labda hilo la nne...ayo matatu yana madhara gani kwa aliyewekwa?

tena la nne ndio pumba academy, kwa sababu kama ameweka kwenye lets say whatsapp yake, ina maana wanaoona ni contacts wake, sasa inanizuiaje kupata wanawake wengine? While mimi sijamuweka?
 
Najua sanaa, we unadhani kwanini hela zinazidi kumiminika?? Teh teh, usinichimbe nkaja toa siri za jeshi bureeee, kwaheri.


Siri za jeshi, ni ya kwamba unaweza sana na ni jemedari hodari. Au ndiyo gusa unase.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom