issa mweusi88
Member
- Jun 23, 2015
- 7
- 0
Jamani, kuna katoto nimekaona Instagram na wapambe wake eti kamechukua form ya kugombea urais na ukiangalia hata sifa za kugombea hakana mana umri wake ni mdogo. Ila nahisi utakuwa mchezo mchafu wa kuchafuana miongoni mwa watangaza nia.