Saidi kubenea ashaingia bungeni teyari

Saidi kubenea ashaingia bungeni teyari

Kwa akili za darasa la saba ulizonazo kama kubenea mwenyewe alivyoishia hilo hilo la saba basi ni kweli keshaingia

Mbunge kutoka ccm prof maji marefu pia ni lasaba pia mkuu!!
 
Saidi kubenea ashaingia bungeni teyari,tena saidi kubenea atashinda kwa kishindo kikubwa sana,utafiti. Utafiti wa kitaa unaonyesha ndugu kubenea ashaingia bungeni kabla hata ya kura zenyewe

Daa kama umewekewa bastola mdomoni!
 
Hoja ni nini wajomba? SAED KUBENEA kachukua UBUNGO au katia nia UBUNGO? Vp kuhusu MNYIKA?
 
Msibabaishwe na huyo zuzu

Hakuna wa kumtoa Mnyika Jimbo la Ubungo

Amewabwaga wenzake wote kura za maoni
 
Hoja ni nini wajomba? SAED KUBENEA kachukua UBUNGO au katia nia UBUNGO? Vp kuhusu MNYIKA?

hivi wewe kwa akili yako unadhani kubenea anaweza kuzozana na mnyika ? fungua ubongo mjomba .
 
Mnyika anagombea jimbo jipya la kibamba,jimbo la wanachadema,jimbo la wapenda mabadiliko
 
saidi kubenea ashaingia bungeni teyari,tena saidi kubenea atashinda kwa kishindo kikubwa sana,utafiti. Utafiti wa kitaa unaonyesha ndugu kubenea ashaingia bungeni kabla hata ya kura zenyewe
bangi.
 
Inawezekana wewe ulieanzisha hii thread ni either kubenea mwenyewe au shemeji yake.
 
Back
Top Bottom