Recent content by chamazi

  1. C

    Technical explanation on Concentrate Ban from ACACIA Chief Operating Officer

    Biashara siku zote ni shughuli ya wizi "uliohalalishwa kwa ujanja" na ujinga wa upande wa pili wa mkataba husika. Mjinga huyo akielimika na kugundua udhaifu uliomuumiza hana budi kulazimisha mabadiliko katika biashara husika ili wafaidi pande zote bila dhuruma kati yao. Wazungu tangu enzi ni...
  2. C

    Waraka uliowasilishwa UN na viongozi wa Jumuiya ya vijana CUF (JUVICUF)

    Ni vyema mngeandika kwa lugha mnayofahamu vizuri kuliko kuharibu lugha za watu.
  3. C

    Burundi rejects African Union peacekeepers as 'invasion force'

    I AGREE WITH MCHAMBAWIMA. Kagame should stop meddling in Burundi affairs. Watu wenye akili wanajua ni Kagame anayetaka Rais wa Burundi aachie lakini yeye anataka kutawala maisha!!! Mambo gani haya !!
  4. C

    GE2015 Magufuli atashinda lakini mabadiliko hayaepukiki

    Mbwambo uko sahihi mia kwa mia.
  5. C

    Tundu Antipas Lissu

    CHADEMA/UKAWA jibu Hoja za msingi za Slaa mueleweke la sivyo kawamaliza Dr.
  6. C

    TANZIA: Mhadhiri wa UDSM, Prof Tambila afariki Dunia

    Its a very sad day for us your friends. May the good LORD rest you in peace. We will love you forever. You were a gentleman.
  7. C

    Lowassa na Kiingereza chake!

    I frankly do not see any problem with his English relative to other Tanzanians who claim to know this language. Its OK.
  8. C

    Burundi coup bid: Some coup leaders 'arrested'

    Wanaofahamu hali halisi ya Burundi wanajua kwamba Nkurunziza anapendwa sana na wananchi. Maandamano na ghasia zinafanywa Bujumbura na vijana wanaochochewa kirahisi na wapinzani kama ilivyo kawaida katika miji ya nchi nyingi. Wapinzani huwa na nguvu mijini siku zote kwa "wajuaji" kuliko kwa...
  9. C

    Vikosi vya Mikoani vyaitwa Bujumbura kumaliza kazi

    Nahisi kuna nchi jirani kuchochea vurugu za Burundi.
  10. C

    Maaskofu wa mitaani, mjipime

    Gwajima kwa vigezo vyovyote si askofu, si lolote au chochote katika uongozi na ukristo. Ni mpayukaji tu asiye na chembe ya busara wala ukristo kimwili na kiroho.
  11. C

    Tanzania yakanusha ripoti kuhusu FDLR

    Eric sio mnyarwanda. Ni mtanzania wa masasi.
  12. C

    Tanzania: Dual Citizenship Now On Horizon

    We don't need this. It has more disadvantages than advantages
  13. C

    Je ni kweli Hon Joseph Rugumyamheto asili yake Rwanda

    Huyu bwana ni mhangaza. Hana uhusiano wowote na Rwanda.
  14. C

    Ivona Kamntu - Mtangazaji anayemiliki vyema kamera

    Binti wa watu anajitahidi sana. Mpeni nafasi ya kusonga mbele kwa kujifunza tokana na makosa. Atajirekebisha ipasavyo. So far so good.
Back
Top Bottom