Burundi coup bid: Some coup leaders 'arrested'

Burundi coup bid: Some coup leaders 'arrested'

It's very simple, Warundi wanatakiwa kuonyesha kwenye sanduku la kura kuwa hawampendi Nkuruzinza! Binafsi sifurahishwi na huyu jamaa kugombea muhula wa tatu! Lakini nina matumaini kwamba kama tume ya uchaguzi ya Burundi iko huru, then hao watu wanaweza wamtoe Nkuruzinza madarakani kwa amani kabisa!
Ninachokiona ni summary executions kwa hawa waliokamatwa lakini in no time, inafuatia assassination ya watu wakuu wanaosimamia uvunjwaji wa makubaliano unaolalamikiwa.

Nkurunzinza amekuwa akiifool dunia kwamba anagombea tena muhula wa tatu kwa kuwa mihula miwili iliyopita, alisimikwa na Parliament lakini kikubwa ni kwamba anagombea kwa sababu wananchi wa Burundi wanamtaka/wanamshawishi agombee ili aendelee kuwaongoza.

Baada ya vurugu kutokea, public ikiwa imegawanyika na watu wanaandamana mitaani kupinga kinachothibitisha ni uwongo wa kushawishiwa na umma, inakuwa vigumu, hao wanaomshawishi aendelee muhula wa tatu ni wapi? Warundi wamekataa!.

Sasa hivi, dunia ina development agenda kubwa moja ya kupunguza na kutokuzalisha wakimbizi wapya. Nkurunzinza, no matter amejishawishi au amejifungia ofisini na wapambe akaamua kuwadharau warundi wote akaamua kuwaburuza kwa lazima watake wasitake atawatawala, anapoona anazalisha maelfu ya wakimbizi tena wakiwa ni wasomi na nguvu kazi ya taifa, inaleta sintofahamu, anachoking'ang'ania kwa gharama kubwa hivyo kina maslahi ya nani hasa? Na atajustify namna gani kwamba utawala wake ni halali hata akubalike na jumuiya ya kimataifa kama si kusababisha vikwazo na mateso zaidi kwa raia atakakobaki nao?

Katika hali ya kawaida, ukishaona raia wamegawanyika, na jeshi likagawanyika kuwasupport raia, na wengine wachache wakatumia mtutu kuwanyamazisha wanaokupinga, inahitaji kuwa na shida kwenye moyo na nafsi ili usimame kwa ujasiri na kusema kwa mbwembwe watu wawe na amani kwa kuwa umerudi kwenye kiti.

INATAKIWA NKURUNZINZA AFAHAMU KWAMBA UWEPO WAKE KWENYE KITI NDIO UNAOSABABISHA MACHAFUKO NA MIGAWANYIKO HIYO. KAMA KWELI YUKO HAPO KWA MASLAHI YA WARUNDI, NA ALIDANGANYWA KWAMBA WATU WANAMPENDA NA WALIMSHAWISHI AONGEZE MUDA WA KUTAWALA, SASA AFAHAMU AMESHAURIWA KIJINGA.

ANATAKIWA HAO WASHAURI WAKE AWAWEKE KANDO MARA MOJA NA ATEUE WENGINE WENYE MRENGO SAHIHI.

ATANGAZE MSAMAHA KWA WAASI WOTE WALIOKAMATWA NA WANAOTAFUTWA KWA UHALIFU UTOKANAO NA VURUGU NA UASI WA JESHI.

AWAOMBE MSAMAHA WARUNDI WOTE KWA KUAMUA VIBAYA KUTOKANA NA USHAURI MBAYA ALIOPEWA NA SIJUI KAMA WATAMSAMEHE HASA WALIOPOTEZA NDUGU ZAO.

AWASIHI WAKIMBIZI WOTE ALIOTENGENEZA WARUDI MARA MOJA BURUNDI ILI KUJENGA NCHI.

ATANGAZE KUONDOA JINA LAKE KWENYE UGOMBEA WA URAISI AMBAO NDIO CHIMBUKO LA UHARIBUFU.

ATANGAZE MCHKAKATO MPYA NASAHIHI WA UCHAGUZI BILA YEYE KUWEMO ILI ASIMAMIE HAKI BILA TAMAA.

Vingineyvo, anamaliza vibaya sana na anatengeneza Burundi yenye resentments kitu ambacho hakijawahi kutengeneza amani zaidi ya unafiki na kuumizana kwa visasi.
 
Wanaofahamu hali halisi ya Burundi wanajua kwamba Nkurunziza anapendwa sana na wananchi. Maandamano na ghasia zinafanywa Bujumbura na vijana wanaochochewa kirahisi na wapinzani kama ilivyo kawaida katika miji ya nchi nyingi. Wapinzani huwa na nguvu mijini siku zote kwa "wajuaji" kuliko kwa wananchi wenye nchi halisi walio wengi ambao wako vijijini. Ikumbukwe pia kwamba ukabila huko Burundi bado ni tatizo kubwa na kumalizwa si rahisi hata kidogo. Itachukua muda mrefu.
 
Yametokea Burundi lakin najua PK kule yupo na wasiwasi vibaya na naamin nimwendelezo wa mauaji ya kimyakimya mchambawima1 Jamaa ana mihula 2 mme ropoka kuwa aondoke wakati Paka wenu ana 21yrs mpo kimyaaa, olewenu warwanda wa amke marufuku kukanyaga huku
 
Last edited by a moderator:
CFCNFdMVEAIl9rO.jpg
.
kushitakiwa kijeshi kwa uasi.
 
Ninatamani kungekuwa na hata chembe ya uwepo wa demokrasia kama hiyo Burundi. Ninasikitika kusema ninayoyaona kwamba sanduku la kura ni rubber stamp ya kuonyesha dictator anakubalika.

Hili linaanza na nia yake ya kulazimisha kugombea muhula watatu kinyume cha sheria na kudanganya kwamba warundi wamemshawishi.

Pili ni pale warundi walipombishia akakomaa hadi wakahitaji tafsiri ya katiba kutoka mahakama. Mahakama ikalazimishwa kutoa tafsiri anayoitaka Nkurunzinza kinyume ka katiba, na kinyume na public attention. Majudge walioshindwa kutoroka, waka sainishwa kwa mtutu wa bunduki. Yule chief akaona hata kwa mtutu hayuko tayari, akatoroka na kuzungumza namna alivyotishiwa usiku na watu wa Nkurunzinza ama asaini na kusaliti katiba na warundi wenziye kwa maslahi ya Nkuru, au aface kifo. Akaamua kutimua usiku kwa usiku.

Kwa mtiririko wa matukio yote hayo, kweli kuna mtu anaona Sanduku la Kura litaheshimiwa na kutumiwa kwa uhuru n ahaki ikiwa katiba na mahakama zimechinjiliwa mbali?

Ni vizuri tukaongea uhalisia kwa kuwa hali ya burundi iko dhahiri kwamba hakuna democrasia kilichopo ni udictator wa kibabe na kiuaji unaofanywa na Peter kwa kuamrisha vyombo na mifumo yote ya serikali ifanye anachotaka vinginevyo wanaokataa wauawe.

Ni wnagapi wako tayari kukubali wauliwe kwa kusimamia haki ya taifa? Hkauna cha tume huru wala nini. Ni sawa na hapa kwetu tu, na tusijifanye hatujui!.

It's very simple, Warundi wanatakiwa kuonyesha kwenye sanduku la kura kuwa hawampendi Nkuruzinza! Binafsi sifurahishwi na huyu jamaa kugombea muhula wa tatu! Lakini nina matumaini kwamba kama tume ya uchaguzi ya Burundi iko huru, then hao watu wanaweza wamtoe Nkuruzinza madarakani kwa amani kabisa!
 
Wanaofahamu hali halisi ya Burundi wanajua kwamba Nkurunziza anapendwa sana na wananchi. Maandamano na ghasia zinafanywa Bujumbura na vijana wanaochochewa kirahisi na wapinzani kama ilivyo kawaida katika miji ya nchi nyingi. Wapinzani huwa na nguvu mijini siku zote kwa "wajuaji" kuliko kwa wananchi wenye nchi halisi walio wengi ambao wako vijijini. Ikumbukwe pia kwamba ukabila huko Burundi bado ni tatizo kubwa na kumalizwa si rahisi hata kidogo. Itachukua muda mrefu.
Kwa hiyo "ukipendwa sana na Wananchi" ndio iwe sababu ya kuvunja katiba ya Nchi?
 
Hahaa! Pumbavu kabisa, Bujumbura kimyaaa! Mwanaume amerudi. Ma barricades yameshaondolewa. Ma snitch yameshadakwa. Hii ingekuwa aibu kubwa kwa Tz kama ingefanikiwa.
 
Hahaa! Pumbavu kabisa, Bujumbura kimyaaa! Mwanaume amerudi. Ma barricades yameshaondolewa. Ma snitch yameshadakwa. Hii ingekuwa aibu kubwa kwa Tz kama ingefanikiwa.
kivp mkuu?.fafanua mkuu wangu.
 
Chaguzi nyingi za kiafrika huwa haziaminiki, mara kura zimeibiwa au zimechakachuliwa. Tume za uchaguzi sio huru zinaendeshwa kwa remote na ikulu. Kwa waafrika chaguzi ni kiini macho ndiyo maana wanachi hawaamini kuwa wanaweza kupata haki yao kupitia sanduku la kura.
It's very simple, Warundi wanatakiwa kuonyesha kwenye sanduku la kura kuwa hawampendi Nkuruzinza! Binafsi sifurahishwi na huyu jamaa kugombea muhula wa tatu! Lakini nina matumaini kwamba kama tume ya uchaguzi ya Burundi iko huru, then hao watu wanaweza wamtoe Nkuruzinza madarakani kwa amani kabisa!
 
Ilitokea in 1994, Rwanda, mapinduzi yakafanyika, ikawa kama ilivyokuwa, kwanini tena itokee mara ya pili, tena kwa raisi wa nchi jirani na ile ya kwanza, watu lazima wangehisi Tz imehusika kwa namna moja au nyingine.
 
Nani analeta machafuko?
Walitumwa kuandamana ?
Walioanzisha maandamano na vurugu na kusababisha watu wakimbie nchi ndio mashujaa?
Raisi nkurunziza ndo amesababisha hayo yote.
 
Cha msingi ni kuona wakimbizi hawaongezeki na kwamba waliopo nje ya nchi wanarejea kwao!
 
Wamkatae kwenye sanduku la kura.


Tatizo chaguzi nyingi hapa Afrika ni zinafanyika kiwiziwizi,Kitendo cha kukiuka makubaliano ya amani na katiba ya nchi kwa kuingia ktk duru ya 3 ni dhahiri amedhamiria kuongoza tena,uchaguzi ni kama kizugio tu kwa Warundi.
 
Habari za hivi punde zinanesha kuwa Jenerali G. Niyombare,kiongozi wa Jaribio la Mapinduzi nchini Burundi,amekamatwa.

Taarifa zaidi zitafuata.


general-niyombare.jpg

General Godefroid Niyombare, the leader of Burundi's failed coup attempt has been arrested, according to the spokesman of President Pierre Nkurunziza.

Earlier, Niyombare announced members of his movement had started surrendering to forces loyal to President Nkurunziza, but then he himself fled.

"I hope they won't kill us," he was quoted as saying by the AFP news agency.

Niyombare's arrest came only hours after the presidency announced that Nkurunziza – who was abroad when the coup was declared – had returned to his country.

He was in neighbouring Tanzania for regional talks Wednesday when powerful general Godefroid Niyombare launched the coup, in a culmination of weeks of violent street protests against the president's bid to seek a third term.

Nkurunziza took to Twitter on Thursday evening to announce his homecoming and praise soldiers and police who remained loyal to him during the ordeal. Aides said he was expected to return to the capital on Friday after a stop in his hometown in the north.

The coup attempt had raised fears of a return to widespread violence in the impoverished country, which is still recovering from a 13-year civil war that ended in 2006 and left hundreds of thousands dead.

Earlier Thursday, loyalist troops said they had fought off two major attacks by rival soldiers in an intense battle for control over the strategically important state radio office.

By mid-afternoon, station director Jerome Nzokirantevye said it was "loyalist soldiers who are in control".

International condemnation

Wednesday's coup announcement drew international criticism, with the United States insisting that Nkurunziza remained "the legitimate president".

The United Nations Security Council, in emergency talks on the crisis, called for an end to the violence and "the holding of credible elections" while separately, UN Secretary-General Ban Ki-moon condemned "attempts to oust elected governments by military force" and urged calm.

Both sides at different times claimed to control the streets, adding to the confusion over the outcome of the coup, but by Thursday night the uprising appeared to have been crushed.

A senior police official said the pro-coup troops were "in disarray" after their assault on the RTNB state television and radio complex in the capital was repelled.

The fight for RTNB was seen as crucial to control the flow of information as Burundi's main private radio stations and the largest independent television channel were no longer broadcasting. The influential African Public Radio station was even set ablaze after being hit by a rocket.

General Ndayirukiye said the attempted coup, "even if it has failed," had shown that there were forces within the army "subservient to the ruling party".

Asked whether the pro-coup troops would surrender or make a last stand, he said: "We have thought about it but we don't want to be responsible for leading those who have followed us to their deaths."

He added that Niyombare and other senior figures involved in the coup attempt were by his side as he was speaking to AFP.

'Unconstitutional'

Opposition and rights groups insist that it is unconstitutional for Nkurunziza, who has been in office since 2005, to run for more than two terms. The president, however, argues his first term did not count as he was elected by parliament, not directly by the people.

More than 25 people have been killed and scores wounded since late April, when Burundi's ruling CNDD-FDD party – which has been accused of intimidating the opposition and arming its own militia – nominated Nkurunziza to stand for re-election in June 26 polls.

It remains unclear, however, how many have died since the launch of the coup.
Resident Onasphore Ndayishimiye was one of the few who dared venture out on Thursday, but said he had narrowly avoided being shot.

"The police saw me and shot at me. I put my hands up and dived on the ground," said Ndayishimiye, who was unharmed but shaken.

More than 100,000 Burundians have fled the violence to neighbouring nations in recent weeks, with the UN preparing for thousands more refugees.

In his message announcing the coup, Niyombare signalled he did not want to take power himself, vowing to form a "committee for the restoration of national harmony" and work for "the resumption of the electoral process in a peaceful and fair environment".

Niyombare is a highly respected figure who was sacked from his intelligence post in February after he opposed Nkurunziza's attempt to prolong his 10-year rule.

Asked to decide on the issue of a third term, Burundi's constitutional court found in the president's favour, but not before one of the judges fled the country claiming its members were subject to death threats.

Source:
France 24
 
dah, hii imefeli inabidi madenge aendelee na ile singo ya "FDLR imeingia burundi"...:becky:
ah jMali bado uko bongo? nilifikiri umemsindikiza Bujumbura? ngoja amalize sakata lake la katiba alafu aje atueleze alianzaje kushilikiana nanyi, just wait and see
 
Back
Top Bottom