Maaskofu wa mitaani, mjipime

Maaskofu wa mitaani, mjipime

Hawa wana JF hebu nilikoroge!!
Is it a coincidence?

Alipokuwa anaropoka pale alitarajia siku akiitwa Polisi atakwenda na Mh. Lowasa ili akamtetee.

Kumbe jana kaenda peke yake mwishowe Presha juu.

Anachezea sheria huyu.

Hapo wamemuhoji tu akalazwa hospitali MMC. Je akifikishwa Mahakamani itakuwaje!!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
We unayesema bado hujui Ukiristo ndo maana hujajua umeandika nini zaidi ya kufurahisha hadhira. Hii inaonyesha we si wa Kiristo. Me sikukubaliana na alichofanya Pengo kwa 100%. Ni msaliti wa Maagano. Kama sehemu ya jopo la maamuzi hakusitahili kukana yaliyokubalika na wote.

Huku ni kujipendekeza kwa CCM.

Anasitahili kukaywa.
Usikurupuke, tulia na uisome mada uielewe.
 
Kuna aliyekabidhiwa kusimamia Ukristo duniani???
Gwajima kwa vigezo vyovyote si askofu, si lolote au chochote katika uongozi na ukristo. Ni mpayukaji tu asiye na chembe ya busara wala ukristo kimwili na kiroho.
 
Katika miaka ya hivi karibuni kumezuka kundi la populist preachers ambao wamejipa uaskofu bila kuwa na sifa ya cheo hicho.
Kuna wazee wa upako,maaskofu wa misukule,wale wa milima ya moto,hata wale wa saa ya ukombozi kile tunachoona sasa ni udhalilishaji wa Ukristo na dini kwa ujumla.
Wengi wao lengo ni moja tu-kujipatia kipato kupitia dini na mahubiri na hakuna kinginecho.

Mimi si mkatoliki lakini kitendo cha "Askofu" Gwajima kumkashifu Askofu Pengo hadarani ni cha kulaaniwa.

Kitendo hicho peke yake ndio kinaonyesha mioyo ya hawa maaskofu wa mitaani,wasio na usomi au wito wowote wanavyoshindwa kwa simple test ya uvumilivu na busara.

Gwajima amejifedhehesha!

Pengo amejifedhehesha sana sana
 
Alipokuwa anaropoka pale alitarajia siku akiitwa Polisi atakwenda na Mh. Lowasa ili akamtetee.

Kumbe jana kaenda peke yake mwishowe Presha juu.

Anachezea sheria huyu.

Hapo wamemuhoji tu akalazwa hospitali MMC. Je akifikishwa Mahakamani itakuwaje!!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Mahakamani nani atafingua madhitaka??nani mlalamikaji???
 
Bahati mbaya hawa akina gwajima hawasemi kweli kihivyo. Anahubiri anaponya magonjwa yote na uende ukaombewe! Sio kupona na ndo maana yeye kapata pressure kakimbilia hospitali na siyo viwanja vya Tanzania parkers. Amkeni sasa nyie 'wana kondoo'.
 

Attachments

  • 1427530182746.jpg
    1427530182746.jpg
    23.3 KB · Views: 168
Yajazayo moyo wa mtu , huonekana kwa matendo yake.

Huwezi kuita kiongozi wa wenzako ni wa mitaani, inamaa hata wanaoenda pale na wenyewe umewadharau ni wa mitaani...

Licha ya hivyo hayo ni maoni yako kwa hiyo sio lazima watu wawaze kama wewe...
 
alichofanya gwajima sio sahihi lakini msimamamo wa kadinali pengo ndio mbaya kabisa sikutegemea kiongozi wa juu kama kukurupuka na maamuzi kama hayo labda ni msimamo wake kama pengo sio kanisa katoliki msimamo wa kanisa katoliki juu ya katiba pendekezwa unajulikana
 
Back
Top Bottom