Ivona Kamntu - Mtangazaji anayemiliki vyema kamera

Chuki binafsi tu, mdada mzuri anatangaza vizuri,

Msitake kumlazimishia mawazo jamani.
 
totally confused!!!! nitamchek leo nijionee mwenyewe, huwa anatangaza kipindi gani na saa ngapi?
 
ana kipaji na anaipenda kazi yake.
huyu atafika mbali sana zaidi ya hapo alipo.
wanaompinga wana vivu wa kipiusi msekwa(wivu wa kike)
 
Mimi kuna dada mmoja wa star tv alikuwa anaitwa Joan Itanisa alikuwa ni mrembo sana yaani nilikuwa nikimuona mapigo ya moyo yanabadilika ghafla yanakuwa kama pikipiki ya mchina.Kiukweli dada alikuwa mrembo halafu alikuwa hana maringo kabisa.
 
mimi huwa naona havai mavazi ya kike, anavaa mashati na ana posi za kiume. sisemi kuwa ni msagaji lakini posi zake ni za kiana fulani hivi, halafu anaongea polepole sana haongei harakaharaka ili kusevu muda wa tv, anapoteza muda kutoa mimacho na kujifanya anaongea point kumbe anaboa. ukimwangalia kwa makini, anaweza kuwa alikulia kwenye familia ya watoto 5 wa kiume na wakike akiwa peke yake, ana element fulani hivi ambazo huwa zinanitia kichefuchefu. huo ndio ukweli toka moyoni mwangu. si unajua mimi nachukia sana wasagaji na mashoga...
Kweli kaka. Yuko kama amekulia maisha ya wanaume tupu. Wanaosema anavutia kimapenzi,labda ndio chaguo aina yake.
 
kumbe mnamuongelea Paulina a.k.a Yvona? ngoja nikanywe maji halafu nitarudi kuangalia mlichosema kuhusu classmate wangu
 
Mimi kuna dada mmoja wa star tv alikuwa anaitwa Joan Itanisa alikuwa ni mrembo sana yaani nilikuwa nikimuona mapigo ya moyo yanabadilika ghafla yanakuwa kama pikipiki ya mchina.Kiukweli dada alikuwa mrembo halafu alikuwa hana maringo kabisa.

Joan Itanisa alijiendeleza na sasa ni assistant lecturer kwa saut
 
Ni mtangazaji anayetamka neno kwa neno kwa ufasaha mkubwa sana.
Tuwatieni moyo watangazaji wetu mahili kama huyu ili vijana wetu
wengine waige mfano wake.

Zaidi ya hapo itakuwa ni wivu na chuki binafsi kwa binti mrembo kama yule,
pengine labda ni jinsi tu anavyoongea vema bila wasiwasi wala hofu.

Binafsi nampongeza na kumtakia kila la heri katika kazi yake.

Mie namkubali Nitwa wa ITV, mzee anaimudu kazi ya utangazaji aisee.
 
Ebwana kuna dada flani alikuwepo star tv miaka ya 2006 hadi 2009 mrembo kweli alikuwa ana kipindi cha urembo na pia alikuwa anatangaza taarifa za habari simuoni siku hz kaenda wapi? Ana rangi ya chocolate na macho kama kala kungu.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================

anaitwa joan itanisa daah.. yule dada ni mrembo ivyooni hamfikii hata chembe na kama mpaka sasa angekuwepo pale sidhani hata ivyooni kama angehamia mwanza
 
Huyo mdada anaitwa Paulina kamuntu alisoma shule ya msingi kipawa wilaya ya ilala ,secondary alisoma Airwing SEc school then kipindi kile pale air wing alikuwa anajifanya yeye ni mkenya but ni mtanzania mama yake alikuwa mwalim wa shule ya msingi pale kipawa primary school ,ivona ni jina la mdogo yake but sijui kwann na yeye anajiita ivoni kipindi kile alikuwa najiita aka babe naomba kuwakilisha I have a lot of data about her
 
Apunguze kujishaua haswa anapokuwa na kipindi cha mahojiano na makamanda wa Chadema....
 
Binti wa watu anajitahidi sana. Mpeni nafasi ya kusonga mbele kwa kujifunza tokana na makosa. Atajirekebisha ipasavyo. So far so good.
 
Back
Top Bottom