Je ni kweli Hon Joseph Rugumyamheto asili yake Rwanda

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,873
1,216


images.jpg



Habari zenu WANA JF?

Je ni kweli huyu jamaa ana asili ya Rwanda au ni jina tu la kibantu,kwani amekuwa akitajwa kuwa na mafanikio makubwa sana hasa kwenye utumishi wa umma wakati wa kipindi chake na kuwa mwadilifu sana na mzalendo katika nchi hii.

Amewahi kuwa Katibu mkuu kiongozi ambaye alikuwa anawajibika moja kwa moja kwa RAIS WA NCHI.

Baadhi ya watu ndani ya serikali hawakupendezwa na kitendo cha Joseph Rugyamheto kuwa na madaraka makubwa katika nchi hali iliyo pelekea kupitisha watu wengi wenye asili rwanda kufanya kazi kwenye ofisi nyeti za nchi hii.

Je ni kweli huyu jamaa ana asili ya Rwanda...............?

The Honourable Joseph Rugumyamheto, a graduate of Stanford University, spent 30 years in the Tanzania public service, ultimately serving for five years as the Permanent Secretary for Public Service Management in the President's Office, where he reported directly to the President of Tanzania. He was responsible for all civil servants in the Government of Tanzania and for human resource management and development policies.

He is widely credited with being instrumental in achieving wide-ranging reform in the Tanzanian public service and for achieving enormous improvement in public service delivery to the poor. He contributed to development in numerous capacities including serving as Chairman of the Government Board of the Eastern and Southern African Management Institute, Member of the Board of Research on Poverty Elimination, and Chairman of the Board of Global Development Learning Centre Network.

The Honourable Rugumyamheto retired in January 2006, and is now Chairman of the Board/Director at Douglas Lake Minerals Limited, a joint venture company holding mineral concession rights in Tanzania. In April 2006 he was awarded, at the World Bank, the Jit Gill Memorial Award for Outstanding Public Service. His steadfast encouragement of good governance reforms and his distinguished contribution to the public good through effective public service reforms were honoured.)
 
huwezi jua anaweza akawa ana asili ya rwanda
mbona wanasema watu kuwa hata mke wa raisi
naye ana asili ya kinyarwanda?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
tuache uoga.. kwani kuwa na asili ya Rwanda ni kosa!!?? unaweza kuwa na asili ya nje lakini ukawa Mtanzania mwema kabisa kulko wengine.
Au kuishi na kuzaliwa ukingoni/mikoa ga mipakani ni vibaya!!??
 
Niliwahi kusikia kuwa ni mkimbizi wa kihutu na kwao hapa TZ ni makazi ya wakimbizi Katumba, Mpanda/Katavi....hii ya unyarwanda ndiyo naisikia leo.

Kuwa ameingiza wahutu wengi inawezekana ni kweli....maana hata mwanasheria wa tbs ni mhutu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hata kama angekuwa mtutsi wala si tatizo hapa kikubwa anafanya kazi kwa uzalendo? Tuamke kifikra watanzania hata u.s.a imeendelea kwa kuiba wataalamu toka nchi za mbali kikubwa ni kuwa je uwepo wake katika gvt ameisalit tz?
 
Hata kama angekuwa mtutsi wala si tatizo hapa kikubwa anafanya kazi kwa uzalendo? Tuamke kifikra watanzania hata u.s.a imeendelea kwa kuiba wataalamu toka nchi za mbali kikubwa ni kuwa je uwepo wake katika gvt ameisalit tz?

si kwa level ya kuongoza idara iliyo karibu au iliyo chini na ikulu
 
Kama kuna mtu aliyepaka najisi utawala wa Mkapa ni huyu Rugunyamheto kwani ndiye aliyekuwa architect wa sera ya kujiuzia nyumba zetu za serikali kwa bei ya chee!!! Sidhani kama ana asili ya Rwanda if anything he is closer kwa wahutu ingawa anakwenda kwenda huko Kigali!!!
 
Kwao Nyamiaga, ndugu yake ni daktari Songea Peramiho, amejanga njia ya kwenda mkididiri maribayandole

Wewe kweli unamfahamu Rugumyamheto. Hawa ni wazee wameitumikia nchi yetu kwa "uadilifu". Kwamba anaweza kuwa na chembe za Rwanda, that's normal. WaTanzania wengi kwa namna moja au nyingine ni immigrants from somewhere.
 
Wacha waseme.Joseph namfahamu kwa kipindi cha miaka 40 hivi.hana hayo mnayosema ni mwenyeji wa kigoma kasulu ndio kwa wazazi wake. Hayo ya Rwanda/Burundi yawezekana but muhimu ni kujua ameitumikiaje nchi yake anayoishi.hatawewe si ajabu ni mmakonde wa msumbiji au mnyasa ,au mkurya ,mjaluo mpare mdigo makabila yote ya mipakani yanaingiliana. Acha chuki.
 
tuache uoga.. kwani kuwa na asili ya Rwanda ni kosa!!?? unaweza kuwa na asili ya nje lakini ukawa Mtanzania mwema kabisa kulko wengine.
Au kuishi na kuzaliwa ukingoni/mikoa ga mipakani ni vibaya!!??
Usitoe majibu mepesi kwa maswali magumu hivyo wewe
 
Niliwahi kusikia kuwa ni mkimbizi wa kihutu na kwao hapa TZ ni makazi ya wakimbizi Katumba, Mpanda/Katavi....hii ya unyarwanda ndiyo naisikia leo.

Kuwa ameingiza wahutu wengi inawezekana ni kweli....maana hata mwanasheria wa tbs ni mhutu
Hii ni hatari kwa taifa letu.......mtu yeyote mwenye asili ya kigeni hata kama alizaliwa hapa bongo si vema akaingia katika nafasi nyeti za maamuzi......wanatakiwa kupewa fursa za ajira nyadhifa za chini kabisa....
 
Wewe kweli unamfahamu Rugumyamheto. Hawa ni wazee wameitumikia nchi yetu kwa "uadilifu". Kwamba anaweza kuwa na chembe za Rwanda, that's normal. WaTanzania wengi kwa namna moja au nyingine ni immigrants from somewhere.
Immigrant from when.....pre or post colonial era.....?!
 
Ata kwenye familia utakuta mtoto wa nje anafanya vizuri kuliko wandani ya ndoa
Hilo nalo neno, hao watz halisi wameifikisha nchi hapa ilipo na bado wanaendelea kuinyoa kwa kigae cha chupa mikataba ya madini Katia yy? Mbona hamuwajadili kwa kina hao watiaji mikataba mibovu wanunuzi Wa rada na wengine au?
 
Back
Top Bottom