Mkuu habari, vipi ulipata msaada wa tatizo maana nilikuwa nataka nije na thread kama ya kwako. Kwa kifupi mapata shida sana tatizo lilianza muda kidogo sijawahi kuligundua ni kwamba ilikuwa me kukosa choo kwa week japo nakula ni kawaida tu sikuzingatiaga hadi nikaja pata constipation...
Habari za jumapili wanajukwaa, Kwanza nitangulize kuwasalimu mdugu wa jukwaa pendwa wana MMU, natumai Mu wazima wa afya mnaendelea vyema na kulijenga taifa letu la uchumi wa kati..
Twende kwenye maada aisee WANAUME Ttuna mambo mengi sana usipokua na afya njema ya akili utaishia kuwa kichaa au...
Habari wana jukwaa,
Kwa muda mrefu sana nilikuwa najiuliza hivi watu wanaotoaga ofa bar kwanini huwa hawaishiwi, au wanaotoaga misaada mikubwa pia kwa nini wanaendelea tu na maisha yao afu mimi ambaye sifanyi hivyo maisha yangu hayajabadilika kitu yapo vilevile.
Kwa muda mrefu sana nilikuwa...
Kijiwe kimoja cha draft jamaa katangulia goli moja mbele. Akafungwa mbili akatolewa jamaa akamsindikiza na maneo naona ulitangulia gheto ukavaa boxer ya kiume ukijua nitakuacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu IFRS Radical hebu tumien screen recorder tuone jinsi mnavyomfunga huyu dalmax maana hadi sasa inaonekana nyie mmemfunga michezocmingi sana.. Mimi naambuliaga draw tu nimewahi kushinda mara mbili tu mechi zaidi ya 1000
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uzoefu wangu binafsi wa kujaza fomu za maombi haya online nafahamu ya kua lazima uwe na kitambulisho nida cheti cha kuzaliwa au kiapo cha kuzaliwa cha kwako then kuwe na cheti chakuzaliwa cha mzazi mmoja wapo au kiapo chake, barua ya utambulisho serikali ya mtaa, barua yako binafsi ya ombi...
Mkuu itabidi nilete uzi wa kushuhudia maana nmeshashuhudia kukutana na mwanamke mzuri humuhumuna sasa tupo kwenye maandalizi ya ndo haya mwezi wa nne nikitulia nitaandika uzi
Zipo nyingi jcole kod forest hill drive kendrick good kid mad city na damn, one the incredible soga za mzawa niki mbishi sauti ya jogoo stereo African son billie eilish when we all fall a sleep .... kwa uchache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.