Mrejesho

Mrejesho

Sijambo Kigori. Uwepo wako tu uliojaa afya tele kwangu mimi ni baraka tosha sihitaji kingine.
Mimi sijambo kabisaa
Namshukuru Mungu kwa kweli, anazidi kunibariki. Vipi wewe eti, hujambo?!
 
Wakuu habari za weekend!

Siku za hivi karibuni nilipata bahati ya kuwapm mademu wanne hapa JF.

Kwa bahati mbaya sikutegemea kile nilichokiona na kile nilichokuwa nafikia kinaweza kuwa sio sawa.

Nimeendelea kuchati na hao mademu kwa muda mpaka tukafikia hatua ya kupeana namba kwa mawasiliano zaidi.

Tuliendelea kuchati mpaka tukafikia hatua ya kutumiana picha ili tujilidhishe kwa kila mmoja wetu.

Hakika nimeamini mwanamke mzuri ni yule unaeonana nae USO kwa USO na sio kwenye mitandao.

Kuanzia Leo nimekoma kupm mademu wa mitandaoni,

Kwa hao mademu wanne wote ni wabaya sana tena sana.

Kwa wenye uzoefu na PM za watu watadhibitisha hapa.

NIMEKOMA,SITAKI TENA MADEMU WA MITANDAONI.
Utoto huo, weka sura lako hapa, au la sista wako ndo tuwakompee na tuliokutana nao humu.
 
Wakuu habari za weekend!

Siku za hivi karibuni nilipata bahati ya kuwapm mademu wanne hapa JF.

Kwa bahati mbaya sikutegemea kile nilichokiona na kile nilichokuwa nafikia kinaweza kuwa sio sawa.

Nimeendelea kuchati na hao mademu kwa muda mpaka tukafikia hatua ya kupeana namba kwa mawasiliano zaidi.

Tuliendelea kuchati mpaka tukafikia hatua ya kutumiana picha ili tujilidhishe kwa kila mmoja wetu.

Hakika nimeamini mwanamke mzuri ni yule unaeonana nae USO kwa USO na sio kwenye mitandao.

Kuanzia Leo nimekoma kupm mademu wa mitandaoni,

Kwa hao mademu wanne wote ni wabaya sana tena sana.

Kwa wenye uzoefu na PM za watu watadhibitisha hapa.

NIMEKOMA,SITAKI TENA MADEMU WA MITANDAONI.
Kwa nini hukupita kwa consultant wako hapa[mimi], ukitaka upate wife material mkali humi basi usiandike uzi wa kutafuta, kutaneni coincidently kama mimi na unforgetable.

Amini usiamini wote wanaondika nyuzi za kitafuta wenza/wapenzi humu ndani wana kasoro moja/kadhaa na wengi wako kama ulivyoshuhudia.

Mimi nimeonana nao wengi sana humu, hata yule aloandika boooonge la uzi lenye kiingereza tele lkn trust me ukikutana naye utakataa sio yeye.

Cc: Unforgetable
 
Mkuu itabidi nilete uzi wa kushuhudia maana nmeshashuhudia kukutana na mwanamke mzuri humuhumuna sasa tupo kwenye maandalizi ya ndo haya mwezi wa nne nikitulia nitaandika uzi
 
Habari za mchana!
Naomba nikuulize, ulikuwa unafanya utafiti, unatafuta mke, au unatafuta rafiki?!

Kama jibu lako ni mojawapo, tambua jambo moja, hakuna kitu muhimu kama kuwa na kifua. Hukumpata uliyekuwa unamtarajia basi baki nalo. Hakuna mtu mbaya, awe mwanamke au mwanaume! Kila mmoja ako na uzuri wake!

Hii ni jamii, kuna watu wa kila aina! Wenye maumbo tofauti, wenye kimo tofauti na wenye rangi tofauti!

Weekend njema.


Mkuu vijana wa wenye hulka za namna hii ndio wanaoziba bahati za wengine na kusababisha wadada kufunga PM zao. Hizi ni akili za mtu ambaye bado hajapevuka vizuri.
 
Mkuu vijana wa wenye hulka za namna hii ndio wanaoziba bahati za wengine na kusababisha wadada kufunga PM zao. Hizi ni akili za mtu ambaye bado hajapevuka vizuri.
Anaonekana kabisaa, awe na kifua!
 
Uandishi wako bado unatoa jibu kwamba wewe bado mvulana.

Mwanaume gani unakifua cha plastic namna hiyo? Unashindwa kutunza jambo dogo tu hilo?

Mbaya kwako, malaika kwa mwenzio.
 
Wakuu habari za weekend!

Siku za hivi karibuni nilipata bahati ya kuwapm mademu wanne hapa JF.

Kwa bahati mbaya sikutegemea kile nilichokiona na kile nilichokuwa nafikia kinaweza kuwa sio sawa.

Nimeendelea kuchati na hao mademu kwa muda mpaka tukafikia hatua ya kupeana namba kwa mawasiliano zaidi.

Tuliendelea kuchati mpaka tukafikia hatua ya kutumiana picha ili tujilidhishe kwa kila mmoja wetu.

Hakika nimeamini mwanamke mzuri ni yule unaeonana nae USO kwa USO na sio kwenye mitandao.

Kuanzia Leo nimekoma kupm mademu wa mitandaoni,

Kwa hao mademu wanne wote ni wabaya sana tena sana.

Kwa wenye uzoefu na PM za watu watadhibitisha hapa.

NIMEKOMA,SITAKI TENA MADEMU WA MITANDAONI.
Unapata wapi ujasiri wa kumkebehi kiumbe aliyeumbwa kwa sura na mfano wa yule aliye juu ?
 
Back
Top Bottom