sasa sielewi kinachoendelea ktk siasa zetu, kashfa hizi za mbowe, zitto znaninyima usingizi, sioni ndoto yangu ya tanzania yangu, sioni mtetez wa wanyonge, kila mtu anachumia tumbo lake sio ccm, cdm, cuf yaani wote wahuni katika rasilimali za nchi. chamsingi ngoja nihangaike na mimi kutafuta...
siasa kitu cha ajabu sana hasa kwetu tanzania, hoja iliyoibuliwa bungeni na mwigulu nchemba kwa mbowe inanipa mashaka labda kutufanya watanzania tusahau uongo aliotuletea bungeni mh. zitto kuhusu mabilion ya uswizi na sasa hoja kubwa ni kumjadili mbowe, dah! siasa inataka moyo sana bila ivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.