sasa sielewi kinachoendelea ktk siasa zetu, kashfa hizi za mbowe, zitto znaninyima usingizi, sioni ndoto yangu ya tanzania yangu, sioni mtetez wa wanyonge, kila mtu anachumia tumbo lake sio ccm, cdm, cuf yaani wote wahuni katika rasilimali za nchi. chamsingi ngoja nihangaike na mimi kutafuta...