Speed ya CHADEMA, CCM hoi Mwanza, Tabora, Shinyanga, Kigoma...


"Gongo sasa hivi ni haramu sababu inatengenezwa kwa kificho katika mazingira machafu, tukishika dola tutataka SIDO itengeneze mitambo ya kutengeneza gongo ili iwe katika hali ya usafi," alisema.

Mitambo hiyo itakayotengenezwa na SIDO itakapouzwa itaiingizia mapato serikali pia wauzaji wa gongo watafanya biashara hiyo kwa amani tofauti na sasa ambapo wanaifanya kwa kificho na wakikamatwa fedha zote wananufaika polisi.

Kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza, tena kiza kinene. Sasa hivi Tanzania kuna kinywaji kinachoitwa Konyagi na ndio maana jina jingine la gongo ni konyagi pori. Kwa Tanzania utengenezaji wa gongo uliendelezwa na serikali. Konyagi ilipoanza kutengenezwa kiawndani mali ghafi yake ilikuwa gongo. Watu walihimizwa kutengeneza gongo kwa wingi na kukiuzia kiwanda cha Konyagi. Ilipofika kiwandani gongo ile ilitenganishwa kitaalam na kuondoa sumu ambazo huchanganyika na gongo. Hiyo ndiyo aina ya mitambo anayoizungumzia Dr. Slaa.

Baadaye, kiwanda kiliamua kutengeneza pombe yake chenyewe kutokana na mabaki ya sukari viwandani yaani "molasses" na kuachana na ununuzi wa gongo la wananchi. Hapo ndipo wapika gongo wale kwa kificho wakaanza kuwauzia wananchi waliohitaji "konyagi pori". Hapo ndipo ikiwa mwanzo wa matatizo yote ya gongo kuenea nchini.

Kinachoweza kufanyika tena kitaalam kabisa ni kutengeneza mitambo midogomidogo ya kuondolea sumu kwenye gongo na kuifanya salama kama ilivyo konyagi. Baada ya hapo unaweza kubakiza jina gongo lakini kwa hakika kitakuwa kinywaji salama kama pombe nyingine halali. Ni jambo dogo sana kuibadilisha gongo kuwa pombe salama kama konyagi (aka "The Spirit of the Nation")

Wajinga, wapumbavu na wapuuzi wasitumie jambo wasilolijua kumwita anayependekeza hivyo eti mzee wa gongo. Huko ni kujitoa akili, kujilisha upepo, na kukubali kadamnasi kuwa wewe ni bozo. Jielimishe kidogo tu!
 
Kauri ya Vua gamba vaa Gwanda ilikuwa kipindi cha oepration M4C,hii ni baada ya 2010 so hauko sahihi, kubali yaishe mkuu, mbona ni mambo ya kawaida ktk maisha

KUMBE WEWE NI MJINGA EH, UNAJAJI UMATI KWA KUANGALIA NGUO ZLOVALIWA? DAH

HIVI HAKUNA KOFIA PIA TSHIRT ZA CHAGUA KIKWETE MWAKA HUU 2013? AU KAMPEN ZA MWAKA 2010 ZILIPOISHA NAZO AUTOMATICALY ZILIPOTEA?

WEWE UNA AKILI NDOGO KM MAGAMBa MENZIO
 
Jamani CDM imeishika CCM pabaya!! Dr Slaa harudi nyuma...! Mbowe anashambulia, makamanda wote wanashambulia hawajali propaganda za kijinga za CCM!!
 
Speed ya chama cha Demokrasia na Maendeleo mikoa ya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Mwanza ilikopamba na fitna nyingi za CCM na wasaliti waliokuwa wanachama wa chama hicho Zitto, Matata, Habibu, Amani Kabouru (Mwenyekiti CCM Kigoma) kwa usimamizi wa karibu kabisa na chama cha majagili,mafisadi, Dr Slaa alifanikikiwa kuziteketeza mbinu zao zote ambazo zilitishia uhai wa Dr Slaa, lakini Dr Slaa aliwaambia 'naenda Kigoma kaskazini na kama ni risasi wanipige' tukashuhudia thread nyingi sana humu jamvini mara chadema imekufa, Dr Slaa apigwa mawe lakini wenye akili tulijua niporojo za maccm maana tulijiuliza hivi Dr. Slaa kila siku anapigwa mawe lakini anayakwepa tu lazima atakuwa hodari sana na nilitamani akamfundishe namna ya kukwepa mawe Mabina!, juzi ilikuwa safari ya Mwanza chini ya kamanda wa anga sauti ya zege Mhe. Freeman Mbowe huko aliwazika Dr Asha Rose Migiro aliyejaribu kujipima na kamanda wa anga pamoja na kutishwa kuwa asikanyage Mwanza na alipofika mwanza kuongea na wanafunzi wa vyuo vikuu jijini Mwanza, CCM chini ya Asha Rose Migiro na Antony Diallo(Mmiliki Sahara Communication yaani Startv, Kissfm, RFA na gazeti linalopatikana kanda ya ziwa) nao waliitisha mkutano wa wanafunzi wa vyuo vikuu na kutoa usafiri pamoja na chakula kwa wote ambao wangefika kwenye mkutano huo lakini kuonyesha Watanzania wameshajua ujinga wa CCM waliamua kupuua na kuachana na ubwabwa na usafiri huo wa bwerere na kuamua kujilipia gharama zote hizo ili kushiriki mkutano wa Chadema.
Jana tarehe 15.12.2013 ndiyo ilikuwa funika mbaya Kwa Mwanza na Tabora Huku Dr Slaa kule Mbowe baada ya watu mwengi sana kujitokeza kwenye mikutano ya Mwanza na Tabora..Bila shaka utabiri wa Dr Dr Kikwete kuwa wasipoangalia CCM inakufa inaenda kutimia chadema ina tisha na inazidi kukubarika sana kuelekea chaguzi za serikali ya mitaa ambazo kimusingi ndizo zinazoongoza serikali kama mwendo huu utaendelea na bilasha CCM hawana tena binu za kuizibiti baada ya Video ya kichina kubuma, wasaliti ambao ndiyo walikuwa wanawapa kiburi na kujiaminisha kuwa chadema ingekufa ndani ya mwaka huu na kutembea kifua mbele wakijiaminisha ushetani wao sasa zinashindwa vibaya hakika Mungu anaendelea kuibariki sana chadema maovu yote ya CCM Mungu anazidi kuwaumbua na ataendelea kuwaumbua...
Ombi langu kwa chadema ni kufukuza kila anae leta usaliti na tusonge mbele muda wa kufuga wasaliti umekwisha tulimvumilia tangu siku nyingi sana sasa tunangoa Mizizi mpaka matawi ili jeshi likiingia uchaguzi ujao liwe moja siyo mpuuzi anae sema hawezi kumpigia kampeni fulani kwa sabau mgombea wa CCM ni rafiki yake.
View attachment 127034
Kamanada wa anga Freeman Mbowe akikamua jijini Mwanza
View attachment 127035
Dr. Slaa akikamua - Tabora​
=====Mikutano ya Kata kwa kata

View attachment 127080
Msafara wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa alipowasili mjini Tabora jana, kuanza ziara yake ya kujenga chama katika mikoa ya Kigoma, Tabora na Singida. (Picha na Joseph Senga)
View attachment 127083 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Shitange katika jimbo la Tabora Kaskazini jana, ikiwa ni sehemu ya zira yake ya kujenga chama katika mikoa ya Kigoma, Tabora na Singida. (Picha na Joseph Senga)
View attachment 127085Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Bukumbi katika jimbo la Tabora Kaskazini jana, ikiwa ni sehemu ya zira yake ya kujenga chama katika mikoa ya Kigoma, Tabora na Singida. (Picha na Joseph Senga)
Dr Slaa rudi....CDM inaangamia.

Hakuna think tank kwa sasa
 
Back
Top Bottom