Kiongozi chadema: Ziara ya dr.slaa kigoma,mwanza na tabora, ni woga wa mbowe na slaa.

Ndege wafananao na wapendanao huruka pamoja hivyo ni rahisi sana kujua kundi lako ni lipi kati ya kundi la wazalendo na kundi la MAFISADI

Mnaiga tu msamiati wa UFISADI, na inavyoonekana hujui unamaanisha nini!! hebu lete tafsiri yake.
 
Vyeo vya chama alivyokuwa ana vitumia kwenda nje sasa basi, ataanza kuona madhara yake. Zito mbona senge tu, ana miaka 38 lkn bado halijaoa huoni kwamba ana tatizo hata kwenye maswala ya ndoa? wote tunakumbuka alitembea na Amina Chifupa kwani mambo yote yaliwekwa wazi na vyombo vya habari, na Amina sikumbuki alifariki na ugonjwa gani tena.......Tafakari!

Nitafakari nini sasa?? hayo ya masuala ya kuoa na uhusiano wa zitto na amina au ugonjwa uliomuua amina unauhusiano gani na uzi wangu?
 
Sio najiita Wisest man ila ni kwamba mimi ni Wisest man, harafu unaweza kumtaja huyo aliyenituma? acha upumbavu, mimi sio mpenzi wa party politics hivyo sifungamani na chama chochote, au unafikiri mtu akiikosoa cdm basi anakuwa ccm au akiikosoa ccm basi ni cdm!!! acha hisia za kishabiki, dr. slaa amekimbilia kigoma kama kutafuta utetezi kutokana na maazimio ya kamati kuu.

Ziara ya Dr. Slaa iko kwenye ratiba siku nyingi, kama imepangwa juzi hizo gharama za ziara zimepangwa na kikao gani? Kawadanganye wavivu wenzako.
 
Hawa jamaa,wametumia rasilimali nyingi muda,ni waoga sana,wanaogopa mpaka kivuli cha Zitto.
 
Ni naniiiiiiiiii?huyo aliyekupa hizo taarifa na kwanini humtaji jina?au unatunza siri na kama UNAFIKIRI NI SIRI ni siri bac hiyo cri tena,TIME WILL TELLTHE TRUTH.
 
Kutoa matusi ni ishara ya kutojitambua who are you?shame on you guy and try to change your mind set and to control your emotion.hapa hulazimishwi kucoment/kureply.
 
Ziara ya Dr. Slaa iko kwenye ratiba siku nyingi, kama imepangwa juzi hizo gharama za ziara zimepangwa na kikao gani? Kawadanganye wavivu wenzako.

Kusema ratiba ilipangwa siku za nyuma haina mashiko kwani hata mipango ya kumvua uongozi mhe. zitto sio mpango wa hivi karibuni, hiyo ziara ni hatua ya pili ya mpango wa kumng'oa zitto, kwani walijua kuwa kanda ya ziwa ndin ngome kuu ya mhe.zitto ndio maana wakaanzia kigoma, kiufupi ni kwamba cdm imeshaaza kupoteza mvuto kwa wananchi tofauti nd ilivyokuwa mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi mkuu kuisha, usiisemee nafsi mkuu.
 
wisest man,
jina unalotumia hailingani na uliyoyaandika. I) kama ulikuwa hujui, ulikuwa na jukumu la kuuliza up ewe ufafanuzi, ten a bila gharama. Ziara za dr slaa zimefanyika takriban nchi nzima, toka mwaka 2011. Acha upotoshwaji, hautakufikisha popote. 2) ziara ya kigoma ilipangwa kufanyika mwezi julai, lakini nilipata safari ya ujerumani. Ikapangwa mwezi september, nikapata safari ya marekani. Ikatekelezwa mwezi december kama sehemu ya ratiba ya ziara za kawaida za katibu mkuu. 3) ziara ya mwenyekiti mbowe inatokana na ratiba ya chuo kikuu, ambako si mara ya kwanza chadema kualikwa vyuo vikuu.

Mengine yote ni propaganda zisizo na maana.


Quote=wisest man;8121354]upepo wa kisiasa chadema si shwari baada ya maazimio yaliyofikiwa mwezi uliopita
na kamati kuu ya chama hicho ya kuamua kuwavua nafasi zote za uongozi zitto kabwe, na wenzake samson mwigamba pamoja na dr.kitila mkumbo kwa tuhuma za kukihujumu chama kwa kuandaa waraka wa siri unaohimiza kufanyika kwa mageuzi ktk uongozi wa juu chadema na kupewa siku 14 kujieleza ni kwani wazivuliwe kabisa uanachama, baada ya maamuzi hayo ndipo katibu mkuu wa chadema dr.wilbroad slaa kuanza kufanya ziara mikoa ya kigoma,mwanza,shinyanga na tabora kwa kile kinachojulikana kama ziara ya kuimarisha chama, lakini kinachonekana ni mbinu ya dr.slaa na mbowe kupima upepo wa mwanasiasa huyo kijana kama nguvu yake ktk kanda hiyo yanaweza kuathiri maamuzi ya kamati kuu kwani lengo la slaa na mbowe ni kumtimua kabisa zitto, lakini kutokana na matokeo ya ziara hyo inaonekana wazi kuwa hakuna wa kuweza kumfukuza zitto chadema, hii ni kwa mujibu wa taarifa niliyoipata kutoka kwa mmoja wa viongozi waandamizi kutoka makao makuu ya chadema dsm.
[/quote]
 
Hahahahaha! Dr.W.Slaa babu,Never in this world,you wont be at Magogoni for rest of your life,So sad!

Wisest
Man,
Jina unalotumia hailingani na uliyoyaandika. I) Kama ulikuwa hujui, ulikuwa na jukumu la kuuliza up ewe ufafanuzi, ten a bila gharama. Ziara za Dr Slaa zimefanyika takriban nchi nzima, toka mwaka 2011. Acha upotoshwaji, hautakufikisha popote. 2) Ziara ya Kigoma ilipangwa kufanyika mwezi Julai, lakini nilipata safari ya Ujerumani. Ikapangwa mwezi September, nikapata safari ya Marekani. Ikatekelezwa mwezi December Kama sehemu ya ratiba ya Ziara za kawaida za Katibu Mkuu. 3) ziara ya Mwenyekiti Mbowe inatokana na ratiba ya Chuo Kikuu, ambako si Mara ya kwanza Chadema kualikwa Vyuo vikuu.

Mengine yote ni propaganda zisizo na maana.


QUOTE=Wisest man;8121354]Upepo wa kisiasa chadema si shwari baada ya maazimio yaliyofikiwa mwezi uliopita
na kamati kuu ya chama hicho ya kuamua kuwavua nafasi zote za uongozi zitto kabwe, na wenzake samson mwigamba pamoja na dr.kitila mkumbo kwa tuhuma za kukihujumu chama kwa kuandaa waraka wa siri unaohimiza kufanyika kwa mageuzi ktk uongozi wa juu chadema na kupewa siku 14 kujieleza ni kwani wazivuliwe kabisa uanachama, baada ya maamuzi hayo ndipo katibu mkuu wa chadema dr.wilbroad slaa kuanza kufanya ziara mikoa ya kigoma,mwanza,shinyanga na tabora kwa kile kinachojulikana kama ziara ya kuimarisha chama, lakini kinachonekana ni mbinu ya dr.slaa na mbowe kupima upepo wa mwanasiasa huyo kijana kama nguvu yake ktk kanda hiyo yanaweza kuathiri maamuzi ya kamati kuu kwani lengo la slaa na mbowe ni kumtimua kabisa zitto, lakini kutokana na matokeo ya ziara hyo inaonekana wazi kuwa hakuna wa kuweza kumfukuza zitto chadema, hii ni kwa mujibu wa taarifa niliyoipata kutoka kwa mmoja wa viongozi waandamizi kutoka makao makuu ya chadema DSM.
[/QUOTE]
 
Vyeo vya chama alivyokuwa ana vitumia kwenda nje sasa basi, ataanza kuona madhara yake. Zito mbona senge tu, ana miaka 38 lkn bado halijaoa huoni kwamba ana tatizo hata kwenye maswala ya ndoa? wote tunakumbuka alitembea na Amina Chifupa kwani mambo yote yaliwekwa wazi na vyombo vya habari, na Amina sikumbuki alifariki na ugonjwa gani tena.......Tafakari!

Vp katibu wako mnywa gongo kaoa? wako kwenye dhambi moja na prof wa ccm,yan kubaka na kunyang'anya wake za watu
Shame on you Dr wa gongo na mzinzi and shame on you prof mbakaji hapa na maanisha CDM na CCM ni walewale tu
 
Upepo wa kisiasa chadema si shwari baada ya maazimio yaliyofikiwa mwezi uliopita
na kamati kuu ya chama hicho ya kuamua kuwavua nafasi zote za uongozi zitto kabwe, na wenzake samson mwigamba pamoja na dr.kitila mkumbo kwa tuhuma za kukihujumu chama kwa kuandaa waraka wa siri unaohimiza kufanyika kwa mageuzi ktk uongozi wa juu chadema na kupewa siku 14 kujieleza ni kwani wazivuliwe kabisa uanachama, baada ya maamuzi hayo ndipo katibu mkuu wa chadema dr.wilbroad slaa kuanza kufanya ziara mikoa ya kigoma,mwanza,shinyanga na tabora kwa kile kinachojulikana kama ziara ya kuimarisha chama, lakini kinachonekana ni mbinu ya dr.slaa na mbowe kupima upepo wa mwanasiasa huyo kijana kama nguvu yake ktk kanda hiyo yanaweza kuathiri maamuzi ya kamati kuu kwani lengo la slaa na mbowe ni kumtimua kabisa zitto, lakini kutokana na matokeo ya ziara hyo inaonekana wazi kuwa hakuna wa kuweza kumfukuza zitto chadema, hii ni kwa mujibu wa taarifa niliyoipata kutoka kwa mmoja wa viongozi waandamizi kutoka makao makuu ya chadema DSM.

Chadema hufanya kazi kwa mujibu wa kalenda na mahitaji ya nguvu ya umma na wala hakuna kiongozi wa chadema kama wewe.
 
Vp katibu wako mnywa gongo kaoa? wako kwenye dhambi moja na prof wa ccm,yan kubaka na kunyang'anya wake za watu
Shame on you Dr wa gongo na mzinzi and shame on you prof mbakaji hapa na maanisha CDM na CCM ni walewale tu

Mkuu WENYELE hapo umesema kweli kuwa CCM&CDM ni magenge tu, CCM kilikuwa chama kizuri tu, ila sasa kinaonekana kama genge la wajanja la kuifilisi nchi kimachomacho, na CDM nao wanaonekana wazi kufuata nyayo za CCM, mimi sipendi kabisa siasa za vyama kwa sababu ndio zinarudisha nyuma maendeleo ya watu, pamoja na kuharibu utamaduni na ustaarabu wa taifa, mf. kama kauli ya kuhalalisha gongo kisheria kauli inayodaiwa kutolewa na dr.slaa sio nzuri kwani akiingia ikulu hata bangi,ukahaba na ujambazi atahalalisha kisheria.
 
Kuwa Wisest man kunategemea deliverables zako mkuu,lakini kwa hili huna una-wisest wowote labda kwa mengine!.. Nilidhani umetumwa na huyo kiongozi muandamizi wa CHADEMA makao makuu,kumbe ni u-wisest wako ndiyo umekutuma uje utwambie CHADEMA hakuna wakumfukuza Zitto?.. Hongera mkuu kama huo ndiyo U-wisest man,MAJANGA!...
Sio najiita Wisest man ila ni kwamba mimi ni Wisest man, harafu unaweza kumtaja huyo aliyenituma? acha upumbavu, mimi sio mpenzi wa party politics hivyo sifungamani na chama chochote, au unafikiri mtu akiikosoa cdm basi anakuwa ccm au akiikosoa ccm basi ni cdm!!! acha hisia za kishabiki, dr. slaa amekimbilia kigoma kama kutafuta utetezi kutokana na maazimio ya kamati kuu.
 
siku 14 mpaka leo bado tu,mbona tamko la maazimio lilitoka mapema, baada ya kikao siku iliyofuata likatoka tamko, vipi sasa mnapata kigugumizi.
 
Mi nishasahau kama kuna siku 14 maana muda umepita ndio ujue Chadema na hyo Lissu hawana msimamo
 
Back
Top Bottom