Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu , baada ya kumaliza masomo yangu nina plan ya kujishugulisha na kilimo hususani kilimo cha matunda yaitwayo MATIKITI MAJI.
Naomba kwa yeyote mwenye uzoefu , anisaidie mbinu za kuendesha kilimo hicho ili kiweze kuwa profitable.
Hadi sasa nina mtaji wa laki 5...
HADITHI NA SOMO;
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?
ROSE: Nataka kuwa rubani...
Kwa Mujibu wa Sheria na Kanuni za Maadili Hutakiwi kufanya kampeni siku ya uchaguzi
nina wasiwasi ukikutwa unapiga push up siku ya uchaguzi tena iwapo itakua ni karibu na kituo cha kupigia kura ni kama utaonekana unaashiria/unampigia debe/kampeni mgombea fulani
Kuwa makini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.