Wazushi sana hawa jamaa. Hawajaweka majina na Website haifunguki.
Wametoa muda mfupi wa kuanza kuripoti kambini (25-30/May) utadhani kila mzazi amejiandaa na hawakuzingatia kuhusu taarifa kuwafikia wanafunzi kote nchini (Mazingira)
Nitakupa ABC kwa biashara unayoiwaza sema waweza kuchanganua na kuamua kuongeza mtaji kwa njia nyingine.
MAHITAJI
1. Cheti cha Vipimo toka kwa Daktari anayetambulika na Serikali
2. TFDA certificate cost ~70,000/-
3. Tin number toka TRA na Clearance certificate pia kadirio la kodi si chini ya...
Kujitetea kupitia kesi isiyohusika! Sijui sheria lakini hii haiwezi kusaidia kujitetea kwao.
Jambo hili lilihitaji Busara pekee, wenye vyeti vya wenzao hujituma sana.
Ningependekeza wapimwe kupitia Utendaji wao si vyeti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.