Yule Makonda sio wa mchezo mchezo! Hana wa kulinganishwa nae kwa wapinzani, tufunge midomo tukalale hamna hoja juu ya Makonda yule ni mtu wa waungwana wa nchi hii. Wacheni povu futa kamasi uchape mwendo. Makondaaaaaa piga kazi tunakukubali baba. Hawa much know hawana jipya uwe na cheti usiwe na cheti wewe ni Leader Material tu, hawa walitaka kutuletea rais aliyesomea mazingaombwe Bagamoyo lakini Mungu kaepusha balaa, na sijui tungekuwa wapi leo , nyoooo !!!! Haihitaji ustaarabu kuwajibu hawa ni kuwa simple na kuwapa makavu live. Shit.