Habari wakuu.
Natafuta mtu anayejua kiingereza vema na mwandiko mzuri. Afanye kazi ya kuwasaili wakulima Njombe na Mbeya kwa kutumia dodoso maalumu la kiingereza. Atauliza maswali kwa kiswahili na kujibiwa kiswahili kisha atatakiwa ajaze majibu kwa kiingereza. Pia wakati mwingine atahusika ktk...
Mkuu, Scud za Kiduku sio hizo za kutumia liquid fuel, zinatumia solid fuel, bali inaonekana Kiduku ameshift kuelekea teknolojia ya kisasa ya kutumia solid fuel tena kwa ghafla mno ambayo inaipa changamoto US antimissile systems ktk kuziintercept. Pitia hapa chini.
Source: The New York Times...
North Korea leo 29 May, 2017 wamefanya majaribio ya kurusha kombora sampuli ya Skadi ambalo limesafiri km 450 na kutua baharini kati ya Korea na Japan. Japani wamelalamikia zaidi na kusema jaribio la sasa ni tatizo zaidi ktk usalama wa usafiri wa majini na angani.
Source: CNBC Business News and...
Waliotumbuliwa walikuwa wakinadi sera hiyo kuwaambia wenye vyeti halisi walio mtaani wakisaka ajira. Sasa leo wanalia lia wanasahau kama walikuwa wakinadi sera ya kujiajiri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.