Iphone 6s plus

Iphone 6s plus

Lete 950K, kumbuka product zinazopelekwa/kuuzwa Europe ni za quality ya juu zaidi. Na ndio maana bei za simu Europe ziko juu zaidi kuliko bei za simu aina hizo hizo Afrika(Tz).

Acha kudanganya watu,apple wanatengeneza product sawa kwa nchi zote labda mitandao ya simu watoe order zao.
 
Duh! Yaani unalazimisha kufananisha Iphone 6s Plus 64 GB na Iphone 6 Plus 64 GB!
Kwa wajuvi wa mambo watakushangaa hata bei zake zikiwa mpya zatofautiana hasa. 6s Plus ni ya juu zaidi ya 6 Plus. Embu google kidogo upate somo na ucheki hata bei zake zikoje.

Mfunze huyo asiyejua
 
Hivi upekee wa iPhone huwa ni nini? Mbona zinauzwa ghali sana? Nielewesheni na Mimi ninunue, mfano hiyo iPhone 6s ina sifa zp?
 
Hivi upekee wa iPhone huwa ni nini? Mbona zinauzwa ghali sana? Nielewesheni na Mimi ninunue, mfano hiyo iPhone 6s ina sifa zp?
Brand za marekani huwa ni ghali milele.

Ukitaka kujua ina nini cha maana,watasema huna hela.
 
Back
Top Bottom