Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Lete 950K, kumbuka product zinazopelekwa/kuuzwa Europe ni za quality ya juu zaidi. Na ndio maana bei za simu Europe ziko juu zaidi kuliko bei za simu aina hizo hizo Afrika(Tz).
Acha kudanganya watu,apple wanatengeneza product sawa kwa nchi zote labda mitandao ya simu watoe order zao.