Recent content by carlos kifaru

  1. carlos kifaru

    Nina tecko j5 toka ninunue haijawai panda H+, msaada tafadhali

    Naomba msaada jinsi ya kupata network ya H+ kwenye Tecno j5 3g iko very slow
  2. carlos kifaru

    Ili Magufuli aibadilishe Tanzania, ni lazima awe Rais kwa zaidi ya miaka kumi

    uko sahishi maana kuongoza miaka miaka kumi yani kila baada ya miaka minne anawaza uchaguzi atapita au asipite so hii inawapa wakati mgumu sana kwa maraisi wetu kutekeleza ahadi za maendeleo mfano saiz Raisi wetu inaweza kua asha anza kuweka mipango ya 2020 kwa iyo inakua vigumu sana...
  3. carlos kifaru

    Jipatie unlock code kwa bei nafuu kabisa

    vp vodafone v 300
  4. carlos kifaru

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    Nimependa na historia iko sahihi kabisa coz nmesoma vitabu vingi vya kihistoria mfano Plato alipotembelea misri kabla ya yesu kuzaliwa alikutana na watu weus katika andiko lake
  5. carlos kifaru

    WCB kutokuwepo kwenye EATV Awards kunamaanisha nini?

    nmefuatilia mwanzo mwisho kuhusu mjadala huu lakini hakuna aliyetoa jibu kamili kwa nn hawajawa nominated wcb ukweli ni kwamba zile tuzo zinazaminiwa na vodacom afu diamond ni menager wa vodacom kwa hiyo wangewekwa wasanii wa wcb...
  6. carlos kifaru

    Serikali yatoa majina ya waliochaguliwa kidato cha tano mwaka wa masomo 2016/2017

    mbona niki search jina la shule au namba inaleta majibu tofauti
Back
Top Bottom