uko sahishi maana kuongoza miaka miaka kumi yani kila baada ya miaka minne anawaza uchaguzi atapita au asipite so hii inawapa wakati mgumu sana kwa maraisi wetu kutekeleza ahadi za maendeleo
mfano saiz Raisi wetu inaweza kua asha anza kuweka mipango ya 2020
kwa iyo inakua vigumu sana...
Nimependa na historia iko sahihi kabisa coz nmesoma vitabu vingi vya kihistoria mfano Plato alipotembelea misri kabla ya yesu kuzaliwa alikutana na watu weus katika andiko lake
nmefuatilia mwanzo mwisho kuhusu mjadala huu lakini hakuna aliyetoa jibu kamili kwa nn hawajawa nominated wcb ukweli ni kwamba zile tuzo zinazaminiwa na vodacom afu diamond ni menager wa vodacom kwa hiyo wangewekwa wasanii wa wcb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.