amazing! Africa kuna kitu cha kujifunza hapa. In Europe and America hii si kitu kigeni, mf.aliyewahi kuwa secretary of State, Condoleza Rice (PhD) wa USA alipostaafu alirudi kufundisha chuo kikuu. nimekuwa nikimsikia pia Rais wa DRC Congo (former Zaire), ndugu Joseph Kabila, akisema akimaliza kilitumikia taifa lake kwa dhamana aliyonayo sasa angependa kusoma uwandishi wa habari na kufanya kazi kama journalist, dunia inasubiri kuona! kwa hapa Tanzania, nimemsikia Mbunge, ndugu Zitto Kabwe akisema ikifika 2015 hatangombea tena ubunge wala wadhifa mwingine wowote bali angependa kufundisha Uchumi katika chuo chochote atakacho pata. ni jambo zuri kwa wote wenye nia hii nzuri, bravo!!!kwani wataalamu wengi Africa wanakimbilia kwenye siasa kwa sababu inalipa zaidi kuliko fani zingine, however, wanaweza kuwa wageni waalikwa (visiting guest/lecturers) katika vyuo vyetu ili kuchochea ari ya kusoma na kujifunza katika fani za uweledi walio nao!