Recent content by byemerwa

  1. byemerwa

    Wataalamu Wa network hili linawezekanika ama?

    Kuna ishu ya security sidhani kama ISP wako ndo admin wa network ya office, authentication ina mata,
  2. byemerwa

    Huu ndio msaada kwa anayeulizia Cheti cha mwenzie!!!

    Tunavyoo mwambie aje na vyake pia,we mtoa na ww bashite kilaza
  3. byemerwa

    Huyu ni mdudu gani?

    Nyoka ndumi la kuwili mkuu
  4. byemerwa

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Je Kuna ukweli kuwa wachawi wanaogopa nguruwe na bangi! Kuna SKU nilala nikanyolewa nywele je kwann walininyoa na je wanafanyia nn Ndege kichawi au ungo unafanana je
  5. byemerwa

    Kwenye sakata la mchanga wa dhahabu, nafahamu ukweli wa ndani

    Mm nasema mkuu hashauliwi vizuri au wanamshauri vibaya makusudi
  6. byemerwa

    Rais Magufuli kwa hili yuko sawa, ITV jirekebisheni

    Mtoa Uzi huwezi kosolve tatizo kwa kujifanya ulioni
  7. byemerwa

    TBC wasifanye propaganda mambo ya kitaifa

    Mkuu nimekuelewa sana
  8. byemerwa

    Rais Magufuli kwa hili yuko sawa, ITV jirekebisheni

    Hiyo ni habari kwann isitangazwe?inaadhali gani kwa jamii, acha habari itufikie tujue lipo tatizo nchini kwetu linahitaji ufumbuzi mm coni kosa kwa ITV kutangaza ipo sku tutaambiwa hata matangazo ya vifo yasitangazwe ili watu wasijue kama tunakufa
  9. byemerwa

    Hivi nikifanikiwa kugusa mbingu nitakuta ni ya aina gani

    Mimi naangalia naona rangi ya blue nadhani inayofata itakuwa ya kijani
  10. byemerwa

    Hivi nikifanikiwa kugusa mbingu nitakuta ni ya aina gani

    Ya aina ya mbingu hyo utakayo ikuta,Kuna ambavyo hata ufikikilie hupati jibu,kama kabla ya dunia,kulikuwa nanii, mungu asili yake nini huwezi pata jibu
  11. byemerwa

    Hanijui eee?

    [emoji2] [emoji2]
  12. byemerwa

    Kwanini Mwanamke akijamba ghafla huona mno aibu ila Mwanaume huona katimiza haki yake ya msingi?

    Mwanamke anajiona mzuri alafu ushuzi wake mbaya yaani unanuka lkn mwanaume hujiona kashiba sasa anapumua fyuuuu tu akiwaza yajayo hata kama hajala
  13. byemerwa

    Kwanini ndege huyu ameitwa ndege mwaarabu?

    Huyoo namjua babu yake alitokea oman
Back
Top Bottom