Huyu ni mdudu gani?

Huyu ni mdudu gani?

Huyo anaitwa bashite hata huku kwetu kolomije wako wengi sana
ni mdudu aliye katika hatua ya larva (kiwavi) katika makuzi yake kabla ya kuwa mdudu kamili....akishatoka hatua hiyo anaingia hatua nyingine iitwayo 'buu' (pupa), na kisha kuwa mdudu kamili.
 
ni mdudu aliye katika hatua ya larva (kiwavi) katika makuzi yake kabla ya kuwa mdudu kamili....akishatoka hatua hiyo anaingia hatua nyingine iitwayo 'buu' (pupa), na kisha kuwa mdudu kamili.
Hizo hatua nazielewa mkuu.
Lakini je ni kipepeo au nini?
 
ha haha mkuu naomba ukakihoji wewe
Nauli ya kwenda k/koo Ina nishinda ya kwenda huko Argentina si matusi hayo,labda wakilete huku na babu yangu aweze kukishangaa kabla haja aga Dunia ili akapate cha kusimulia huko kuzimu.
 
Nauli ya kwenda k/koo Ina nishinda ya kwenda huko Argentina si matusi hayo,labda wakilete huku na babu yangu aweze kukishangaa kabla haja aga Dunia ili akapate cha kusimulia huko kuzimu.
Hahahahaaa hahhahaaaaa
Tutamwambia huyo alokiona akilete kiumbe hicho
 
Back
Top Bottom