Kwa hakika tunashindwa kumuelewa kabisa mtu huyu!@Anatetea haki ya kuishi kwa binadamu na Je,hao waliopigwa risasi na polisi huku Songea hawakuwa na haki ya Kuishi??
Mtoto hawezi kufanya jambo bila kuambiwa au hawezi kubadili mwenendo wake mbovu bila kufokewa ama kupigwa ndivyo ilivyo kwa SERIKALI yetu ya sasa,Imekuwa mpaka aidha maandamano,vurugu,migomo au ajali ndipo inatekeleza yale yanayo wapasa;Je, ni kweli serikali ya Tanzania kulinganishwa na watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.