Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Nadhani ni muda mwafaka kwa CDM kukabiliana na janja wanazotumia CCM katika chaguzi mbalimbali, kulalamika tu haitoshi, nadhani viongozi wa CDM watakuwa wamejifunza kutokana na chaguzi zilizopita.
Mfano:
Uchaguzi wa Igunga malalamiko yalikwepo kuwa CCM walitumia ujanja, humu jamvini yameletwa malalamiko pia kuwa CCM Arumeru inanunua kadi za kupigia kura,pamoja na hayo tume ya uchaguzi haikuandaa uandikishwaji ktk daftari la kupigia kura mwaka huu (hilo nalo linaweza likawa mbinu mojawapo), malalamiko mengi yakizidi pia yanapunguza imani kwa wapiga kura. Malalamiko yanapozidi wananchi wanapoteza imani kwa viongozi wao nakudhani kuwa hawana msimamo au uwezo wa kuongoza,kuwe na mbinu za kukabiliana na chama tawala ili CDM ipate ushindi kwenye uchaguzi huu wa sasa.
Je, CDM imejipanga vipi ili yasijirudie yaliyopita?
Mfano:
Uchaguzi wa Igunga malalamiko yalikwepo kuwa CCM walitumia ujanja, humu jamvini yameletwa malalamiko pia kuwa CCM Arumeru inanunua kadi za kupigia kura,pamoja na hayo tume ya uchaguzi haikuandaa uandikishwaji ktk daftari la kupigia kura mwaka huu (hilo nalo linaweza likawa mbinu mojawapo), malalamiko mengi yakizidi pia yanapunguza imani kwa wapiga kura. Malalamiko yanapozidi wananchi wanapoteza imani kwa viongozi wao nakudhani kuwa hawana msimamo au uwezo wa kuongoza,kuwe na mbinu za kukabiliana na chama tawala ili CDM ipate ushindi kwenye uchaguzi huu wa sasa.
Je, CDM imejipanga vipi ili yasijirudie yaliyopita?