Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Mwanaume nae ana pressure ya aina yake. leo tunajadili matatizo ya wanawakeMakes me wonder how we go about it? Wanaume wakweli wako wapi?
Wanaume nao wamekuwa materialistic sana, blackberry 2 laptop 3 sijui magdets kibao constantly looking at hot women on the net. Pia hawa macelebrity wa hollywood wanazidi kuharibu wanawake wenzetu, MTV, E Style .... hizi chaneli zinatoa perception ya mwanamke mrembo aweje and tunapokea tu not knowing kuwa we are not the intended audience
But ukweli ni kwamba mwanamke akisha invest kiasi hicho anataka return in investment
Hawezi tena 'kumpenda' mwanaume ambae atashindwa kugharamia maintenance ya capital yake
kwa hiyo wanaume wanakua na pressure kubwa ya kuwatafutia mabinti hela ya saluni, ma carrolite na mengine
Materialism inajifuel yenyewe tu, sababu huyo mwanaume akitafuta na apate, anabadili vigezo
hataki tena 'kuku wa kienyeji', anataka a 'sophisticated woman' anae endana na status yake (dixit them)
Mwanamke nae akisha kua 'sophisticated' hataki mwanaume atakae shindwa kulipia maintenance yake
Wanawake wana raise level kwa kujibu demands za wanaume, wanaume wana raise expectation kwa wanawake.
How do we stop the vicious circle? tupende watu kwa who they truly are, not how they look like or what they have
Mwili wa mwanamke ni part of her, ila sio all there is to see and to love. wanaume na wanawake waelewe hivo
Pia mfuko wa mwanaume ni part of his achievement but kuna vitu vingi sana beyond that, the real man behind it.