SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Wakati watu wanagombania kupanda mabasi kama kawaida yao,bibi mmoja alipanda akapata siti bila shida
konda akamuuliza"bibi mbona unalia??"
bibi akamjibu "mjukuu wangu kwa miaka 25 niliyoishi mbagala sijawahi pata siti lakini leo nimepata"
konda akamwambia "nyanyuka hiyo siti ya dereva".
Inanoga sana!