Recent content by Bulbuli

  1. B

    JamiiForums Tanzania Hii ndio tamthilia iliyoliza wengi

    Wapi 20 per cent jamani,nyimbo zake zilihit sana miaka ile
  2. B

    JamiiForums Tanzania Aina gani ya kozi itamfaa huyu?

    Mkuu siyo Kila mtu anaweza kusoma sayansi,uhasibu pia ni kozi nzur tu
  3. B

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Jamani,Sasa mambo yake yanahusiana vip na uzazi,Kuna watu wanasoma huku ni wajawazito,aache utoto azae bhana
  4. B

    JamiiForums Tanzania Leo ni miaka 25 baada ya tukio la kuhuzunisha la September 11 mwaka 2001

    Nakumbuka nilikuwa kwenye taasisi Moja nafanya kazi ya kujitolea,boss wangu akanihadithia kilichotokea,pentagon imeripuliwa,nimiaka Mingi imepita aisee
  5. B

    JamiiForums Tanzania Siku ya kwanza kupiga story na mzungu

    Ulijitahid hata ivo maana mlielewana vizur tu,watu tunaogopaga kuongea Brocken jaman,unataman kuongea lakin huamin kama utaeleweka
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mods Angalieni Uwezekano wa Kurudisha Application ya Zamani ya JF

    Nikajua Mimi tu nimebaki na yazamani
  7. B

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    Aisee! Kiswahili Drs la sita mwaka 1995
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kilichobaki Sasa nipate mke nioe

    Mambo ya dauble deka hayo,si mchezo
  9. B

    JamiiForums Tanzania Uchawi anaoutumia mwanamke kukutawala(limbwata) -mshana jr legacy

    Maombi atayaombaje maana anakuwa hajielewi,ama ndugu zake waingilie kati?
  10. B

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha wanaume kukimbia familia zao?

    Kama mwanaume anatimiza majukumu yake ipasavyo,sidhani kama kutakuwa na kelele na dharau
  11. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna malalamiko kuwa Mtendaji Sengerema anataka Wanafunzi wanaotaka kujisajili NaPA walipe fedha

    Uliambiwa sh ngapi,Nina ndugu yangu pia anahitaji NAPA
  12. B

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu, nyie mna-deal vipi na msongo wa mawazo?

    Kinasovu vip,tunaomba ufafanuz kidogo mkuu
  13. B

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu, nyie mna-deal vipi na msongo wa mawazo?

    Jaribu kufanya meditation pia inasaidia kuondoa msongo wa mawazo
Back
Top Bottom