Hiyo yote sababu ya msiba wa mzee Mengi...!Ina maana hujawahi kuona watu wanabusu maiti au watoto wanaaga mwili was marehemu..?Acha zako tafakari utapata majibu ya hayo mawazo yako...!
Baba askofu Shoo ni muelewa mzuri wa kanuni na taratibu zote za kanisa..!Acha kufanya watu hatuna akili...Kabla ya kuandika chochote tafuta usahihi wa unachotaka kuandika...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.