barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Mbona clouds waliongea wao?Majonzi mazito mfiwa utamjua hawezi kuongea
Itv hawana watu wenye vipaji vya utangazaji, uajiri wao ni kama wa tbc, vyeti na sio vipaji ndio maana!
Mbona clouds waliongea wao?Majonzi mazito mfiwa utamjua hawezi kuongea
Umejibu vizuri mkuuUlitaka awe nani.
Umeambiwa Media United.
Watu wamekuja na kukusupport kwenye msiba wewe unataka waweke umimi?
Mbona clouds waliongea wao?
Itv hawana watu wenye vipaji vya utangazaji, uajiri wao ni kama wa tbc, vyeti na sio vipaji ndio maana!
Nimejaribu kufatilia msafara uliobeba mwili wa dr Mengi kutoka Kia airport kuelekea machame kwa mda mrefu anayezungumza ktk msafara mzima ni Hassan Ngoma huku warushaji wakuu wa shughuli hyo wakiwa ITV huku kapalatu na mwenzie wakiwa studio wakimfuatilia na kujiunga nae mara moja moja huku wakimuachia uwanja wote Ngoma...pamoja na hii nayosikia kua ni media united je IPP hawana mtu makini wa kuperform show hyo kiasi kwamba mtu wa clouds ndio anafanya coverage nzima huku wao wakibaki kma supporters tu
Mwenyeji unatakiwa uwe mwenyeji ingawa haijalishi ila ingependeza itv wangeshika usukani katika shughuli yao!Waliongea matokeo yake ilikuwa nini? sema hapo MC wa msiba wa Ruge yuko wapi?
Msiba ulikuwa wa mfanyakazi ule huu ni wa Mmiliki nduguMbona clouds waliongea wao?
Itv hawana watu wenye vipaji vya utangazaji, uajiri wao ni kama wa tbc, vyeti na sio vipaji ndio maana!
Kwahio Mengi alivyoomba alishe chakula kwenye msiba wa Ruge hao Clouds hawaku tendea haki uenyeji wao sio?Mwenyeji unatakiwa uwe mwenyeji ingawa haijalishi ila ingependeza itv wangeshika usukani katika shughuli yao!
Mkuu, ina maana tasmia ya clouds na itv huijui mpaka ulinganishe tasnia zao na kulisha? Come on, you are better than this man!Kwahio Mengi alivyoomba alishe chakula kwenye msiba wa Ruge hao Clouds hawaku tendea haki uenyeji wao sio?