Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,950
- 2,149
Yaani katika yote ya kuandika ndo ukaona uandike hili ndo la maana. Habari za nani kahudhuria nani hakuhudhuria zina faida gani kwa maisha yako? ..😀😀😀😀😀
Nimemuona Patel peke yakeesijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
Mengi inaonekana alikuwa na ugomvi na matajiri hawa wenye asili ya Asia . Inasemekana serikali ya zilizopo ilikuwa ikiwapa fursa hawa waAsia lakini sio watu weusi Kwa kuhofia wakiwa na pesa wanaweza kuipindua serikali. Kwahiyo Reginald Mengi alikuwa anapinga hiyo Tabia Katika uhai wake kuanzia kipindi cha mwl Nyerere alipowabana watu weusi wasiwe na Mali. Mengi ilimuwea rahisi kuanza kutengeneza utajiri waje kipindi cha Mzee Ruksa . Lakini inaonekana kwamba viongozi wengi hawakumpenda wakihofia anaweza kuja kugombea Urais kutokana na jina lake kuwa kubwa na kuweza kushinda. Kumbuka ugomvi wa Reginald Mengi na Manji, ugomvi wa Rostam Aziz na Mengi .kuna kipindi serikali ya awamu ya tatu walitakaga kumfikilisi. Hata hivyo hawa matajiri wenye asili ya Asia hawakumpenda Mengi. Kwasababu alikuwa anawachana laivu kwamba serikali inawapendelea kuwapa fursa za kiuwekezaji kuliko watanzania weusi. Awa matajiri wekiAsia wote wamepata hela Kwa njia za mkato Kwa kubebwa na viongozi wetusijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
Ndio ujue Wahindi sio ndugu zenu wamekuja kutafuta hela tuu. Mengi alikuwa mpinzani wao mkubwa kubishara kwahiyo hawampendi. Awamu hii nafikiri Wahindi wanaisoma namba serikali zilizopita waliziweka mifukoni mwao. Walijua pesa itawalindaKuna watu wanatetea ujinga hapa Eti ushiriki sio lazima mtu afike msibani huo sio utamaduni wetu wa africa, tumefundishwa kuzikana ndio mana hata leo ndugu wa marehemu wanaweza wasishiriki kumzika marehemu ila atazikwa tu na community, Kama msiba mpaka mkuu wa nchi anahudhuria hao mabilionea wameshindwa nini? Tuache kutetea ujinga wangefika tu pale na kusaini kitabu walau waonekane
Kwenye Islam,kuaga mwili hakupo aslan. Hivyo unaweza kukuta sababu ni hizo. Kuzika sawa,ila kwenda kuaga mwili kwa sheria za Uislam,haipo. Sasa kwa mtu kama mzee Bakhresa,sidhan kama anaweza kwenda kuaga mwili,japo anaweza kwenda kuzika. Kuaga mwili na kuzika ni vitu tofauti.sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
labda ni mtu wa kukeep low profile.....Bakhresa alituma mwanae Kama muwakilishi, Ila Huenda huwa hahudhurii misiba
Watanzania tuache upumbavu wa kifikra. Hujasikia wewe lakini sio lazima kila kitu kiwe public, watu wengine hawapendi kiki hasa kwenye mambo kama misiba.
Salamu zao za rambirambi utajuaje kuwa wamezifikisha kwa familia ya marehemu privately?
Acheni ujinga fanyeni mambo ya msingi.
Heshima kwako mkuu, Jibu lako ni wachache wataelewawatu wanaishi kwa Code ... we tulia waachie mambo yao .. hao na wewe mnaishi dunia mbili tofauti ... na fasiri yako ya matukio kama haya ni tofauti sana na hao jamaa wanavyoya tafsiri
mbona niliwaona mo,manji,bakhresa na Yule Patel.
wabongo kwa lawama hatujambo.
Aliye mitandaoni ana nafuu/advantage kulinganisha waliobaki kwa hiyo hizi ndio mbegu bora tulizonazo.Tunasafari ndefu sana kama taifa kiwango cha ujinga wa mitandao ni kikubwa sana hata tunakoelekea sijui itakuwaje Mungu atusaidie sana