Tiba ya dui ni kuwachoma chanjo wiki 6-7. isizidi hapo.
Na ukiona wameanza kuugua wape Antbiotic kama Otc, typhoprime... na unaweza kusafisha kidonda kwa kutumia maji ya uvuguvugu yaliyo tiwa chumvi kiasi.
"Afadhali huyu mgonjwa LOWASSA ameondoka maana angetufia tukaingia gharama za mazishi
Celina Kombani, R.I.P
" Nasema hivi, LOWASSA ni mgonjwa na hawezi kumaliza hata wiki ikulu" Dr Didas Masaburi, R.I.P
"LOWASSA ni mgonjwa na dhaifu, hafai kupewa dhamana ya kuongoza nchi, akipatikana rais...
Chadema kwa miaka 5 Iringa imefanya kazi kubwa sanaaa....
Tenaa Mch Peter Msigwa kajitoa yeye mwenyewe kuanzia Barabara,
Hosptal ya Rufaa kaibolesha. Ni tofauti ya ile ya mwaka 2010 kurudi nyuma.
Usafi kuna Kuna magari ya kubeba taka kila kona tenaa ya kisasa.
Na menginee mengii sanaaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.