MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,016
- 16,813
wewe umepewa taarifa kuwa picha ya Mheshimiwa Rais imetoka,hujaambiwa useme ni nzuri au mbaya kwa kuwa wapo wenye kazi hiyo ya kuona ni nzuri au mbaya,hata basi ukiamua kukosoa jambo lisilokuhusu fanya hivyo kwa nidhamu kwa sababu hata mwenyezi mungu ametuelekeza kuheshimu mamlaka.Hayo maneno yako ya mwisho hayakuwa na ulazima.
mkuu potezea tu kwani sometimes huwa pengine tunachati hata na majini au misukule humu bila kujua. yeye anasema sura ya Rais wetu ni mbaya muulize ya Baba yake ni nzuri? na kama kweli ana jeuri mwambie atuwekee hapa tuone minyago ya Mwenge stendi hapa.