Mambo ya fedha
Member
- Feb 24, 2017
- 38
- 37
Wewe ndo wa kufunguliwa mashtaka.. Gwajima kamtaja Daudi Bashite, we unamtaja Makonda.... Bashite ndo Daudi... Wewe utuambie.. Mtajuta mwaka huu...
Sijibizani na wapumbavu, upeo wako wa kujenga hoja umekaa kitoto sanaSiku zote Gwajima ni muongo na ndiyo maana anatumia nguvu za giza kupata misukule aliyonayo.Akijamba, utasikia misukule yake ikisema, hilo ni gesi takatifu...ahsante Baba mtakatifu Gwajima na dhambi zetu zimetoweka kwa kujambiwa na wewe.
Mie nadhani ungemshauri Makonda awekeke vyeti vyake hadharani.Mheshimiwa Makonda pole sana kwa jina lako kuendelea kuchafuliwa pasipo kuchukua hatua za kisheria. Kipindi cha nyuma ulishawahi kuagiza
Mhe. Kubenea akamatwe na kufikishwa Mahakamani kutokana na kutumia lugha ya matusi ambapo alipatikana na hatia na kuhukumiwa kutumikia kifungo cha nje.
Vivyo hivyo nakushauri ukafungue kesi dhidi ya Gwajima ili iwe fundisho kwa watu wengine wanaotoa taarifa za uongo kwa jamii kwa lengo la kukushushia hadhi yako. Kuendelea kukaa kimya kutamaanisha kuwa yalioongelewa ni ya kweli.
akaifungulie kesi serikali kwa zoezi la uhakiki vyeti !
Masikini Daudiiiiiiiii!!!!!!! Daudi anawaona nyieeeeeeeeeee haya (Yaani hapo alipo anatamani Jumapili isingekuwepo kwenye hesabu za kalenda) kwa sababu kila jumapili kituuuu!!!!!! kituuuuuuu!!!!!!! hivi si vya machozi ni vya pilipili kabisaaaaaa
Kweli maisha ni safari, lkn bin-adam wepesi wa kusahau wapi tumetoka
