Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Tafauti ya Lowassa na Magufuli ni kubwa mno.
Lowassa is apolitician na mtu mwenyehekima na mvumilivu

Magufuli si mwana siasa na hana wisdom hana uvumilivu hana busara hana hekima.
Katika maraisi walopita walokuwa ni viongozi hassa
Nyerere
Mwinyi
Kikwete
basi na lowassa angekuwa kwenye kundi hilo

kwa upande wa ZNZ
Karume
Mwinyi
basi na Maalim Seif


Usimuchanganye Nyerere na Kikwete, Mwinyi, ama Lowassa hii ni dharau kubwa kwa Baba wa taifa ni Kama kuchanganya ndimu na maziwa. Rais Magufuli ni mufano wa Baba wa taifa, hana ubinafisi wengine wote walikuwa ni wapenda raha kutumia Mali ya wengi kwa manufaa Yao wenyewe.
 
Angejenga makao yake London, na kila jambo mngeambiwa msome kwenye website. asingekuwa na mida ya kujihangaisha.tatnesco ingeuzwa kwa swaiba zake,nk.nk.
 
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!


Asingefanya mengi afanyayo Uncle Magufuli ila najuwa lazima Kikwete na Ridhiwani wangekamatwa kutokana na wizi wa mali ya umma na baadhi ya viongozi wa CCM pia wangewekwa rumande kwa ubadhilifu huo huo.
 


Maisha gani yangekuwa safi ya mafisadi sawa siyo ya Watanzania wa kawaida. Lowassa ni mmojawao alikuwa akivuna kwenye shamba la bibi wakati wewe umelala. Maisha yalikuwa safi kwa wadhurumaji. Wakiuguwa wanaenda India, Muhimbili na hospitali za walala hoi hats vitanda kulikuwa hakuna. Machine zote za kupimia wagonjwa hospitali za walala hoi zilikuwa zimekufa, amekuja kuzifufua Rais Magufuli. Watoto wetu wakikaa chini mashuleni mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Mambo aliyoyafanya chini ya mwaka mmoja madarakani in mengi. Inaonekana wewe ulizowea kuvuna bure kwenye shamba la bibi na sasa huna njia. Pole majuto in mwijukuu sasa ni kazi tu. Usipofanya kazi usile
Saiz hata chanjo hamna, hela ya field hamna, hizo hospitali bado zimeoza tu, bei za bidhaa juu,maisha yamejaa vitisho.Nchi imekosa furahaa.
 
Saiz hata chanjo hamna, hela ya field hamna, hizo hospitali bado zimeoza tu, bei za bidhaa juu,maisha yamejaa vitisho.Nchi imekosa furahaa.

HOSPITALI ZILIKUWA ZIMEOZA KWA MIAKA 30 UNATEGEMEA RAIS MAGUFULI AZIFUFUE KWA MIEZI 11 ALIYOKAA MADARAKANI WEWE BWEGE NINI? (excuse my language). AMEKUTA WAGONJWA WAKILALA CHINI, MACHINE ZA VIPIMO HAZIFANYI KAZI, PESA ZOTE ZA WALIPAKODI BADALA YA KUZIHIFADHI HOSPITALI ZETU, ZILIKUWA ZIKIENDA APPOLO HOSPITAL YA INDIA AMBAYO ILIKUWA IKIWANUFAISHA WACHACHE. VITISHO VINALETWA NA WATU WALIYOIBIA SERIKALINI LAKINI HAWAKUCHUKULIWA HATUA NA SERIKALI YA KIKWETE, PESA HIZO NDIZO ZINATULETEA VURUGU. KAMA KIKWETE ENGEMUCHUKULIA HATUA LOWASSA KWA WIZI WA RICHMOND NA WENGI WALIYOHUSIKA NA WIZI WA PESA ZA UMA,TUSINGEKUWA NA UKUTA LEO MAISHA YA WATANZANIA YANGEKUWA BORA. PESA ULIZOKUWA UKIZIONA WAKATI WA KIKWETWE MITAANI ZILIKUWA ZIMETOKA HAZINA NI ZA WATANZANIA WALIPA KODI, NA SIYO ZA WAFANYA BIASHARA WA HAKI, NDIYO MAANA ZIMEPOTEA MITAANI KWASABABU RAIS WA SASA NI RAIS WA WATU, SERIKALI YA LEO NI SERIKALI YA WATU NA SIYO YA MAFISADI. PESA HIZO SASA ZINATENGENEZA MABARABARA, MACHINE ZA HOSPITALI ZINAFANYA KAZI, ELIMU BURE MBAKA KIDATO CHA NNE. MAFISADI SASA WANAPIGANIA DEMOKRASIA UCHWARA ATI UKUTA, HIZO NI BWEMBWE TU, WANAPIGANIA KUVUNJA KUFULI KWENYE SHAMBA LA BIBI WAENDELE KUVUNA. WATANZANIA WAPENDA HAKI HATUTAKUBLALI KURUDI KWENYE SERIKALI YA MAFISADI. WATU WACHACHE WALIKUA WAKIJISAIDIA, WENGI WANAADHIRIKA, TULIYOMUWEKA KUTUCHUNGIA MASILAI YETU ALIKUWA ANAZIPIGA ZA EUROPE KWA PESA ZETU WAKATI MAFISADI WANAJISADIA WANYONGE TUNAWASHANGAA NA MAISHA MAKUBWA WALIYOKUWA NAYO, PESA HIZI NDINZO ZILIKUWA ZIKIJENGA MAJUMBA YA FAHARI, ZIKINUNUA HAKI, MUNYONGE ALIKUWA HANA HAKI, MWENYE PESA MBELE, PESA ZA UMMA, SERIKALI YA MAGUFULI NI KAZI TU, USIPOFANYA KAZI USILE.
 
Tusingekua na maandamano .tungekuwa baridii na ataa ccm ingekuwa imebaki majengo tuu.wajumbe wa halimashauri kuu wote wangekuwa wamemfuata Chadema.kama unakumbuka walivyo kuwa wakimuunga mkono
 
Wadaiwa wa Nhc wangefutiwa madeni na kuongezea majengo zaidi

WAKATI WALALA HOI AMBAO NI WENGI, TUNGETESEKA. MUNGU NI MKUBWA ASINGERUHUSU HII ITOKEE. WATANZANIA NI WAPENDA AMANI, NI VIONGOZI WETU WA ZAMANI WALIKUWA WANATUONGOZA KAMA WAMAONGOZA NGO'MBE, WAKATI MALI YA UMMA INATUMIWA KAMA MALI BINAFSI. WALIPE MADENI YA NHC AMA SIVYO TUNATAKA MAJENGO YETU NI MAJENGO YA WATANZANIA WOTE.
 
Maisha gani yangekuwa safi ya mafisadi sawa siyo ya Watanzania wa kawaida. Lowassa ni mmojawao alikuwa akivuna kwenye shamba la bibi wakati wewe umelala. Maisha yalikuwa safi kwa wadhurumaji. Wakiuguwa wanaenda India, Muhimbili na hospitali za walala hoi hats vitanda kulikuwa hakuna. Machine zote za kupimia wagonjwa hospitali za walala hoi zilikuwa zimekufa, amekuja kuzifufua Rais Magufuli. Watoto wetu wakikaa chini mashuleni mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Mambo aliyoyafanya chini ya mwaka mmoja madarakani in mengi. Inaonekana wewe ulizowea kuvuna bure kwenye shamba la bibi na sasa huna njia. Pole majuto in mwijukuu sasa ni kazi tu. Usipofanya kazi usile
hizi rangi mnatuumiza macho.
 
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?

Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?

Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?

Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Hujielewii wewe Matatizo yote tunayo yapata wewe unaona huyo j kafanya kitu.

Unastahiri ukapimwe akili.
 
Mimi nachojua Lowasa angekuwa raisi Magufuli angekuwa mpinzani basi
 
tungekuwa slave kama babu zetu miaka hyo.tumshukuru mungu kwa kutupatia mh raisi magufuli
 
Enyi mliologwa huyo lowassa mlijua kama atahama, hadi anahama hana shida ya kukukomboa we nyumbu husojitambua uliedai ni fisadi leo hii unatuambia ni hazina ya watanzania,ulimbuken huo
Inashangaza sana mkuu..
1472209031021.jpg
 
Back
Top Bottom