Hata kama una sababu nyingi za kuendekuendelea kuishi nae kubwa ya kumwacha ni kuwa huyo si mke tena wa ndoa, ni kahaba kama makahaba wengine, achana nae angalia malezi ya mtoto tu.
mkuu apo kuna mawil, kama bdo unampenda ata 2kuambieje uwez kuelewa! xo kwa ufupi kma unampenda nenda mkayajenge upya usubirie yajayo bt kma aumpendi pitapita ivi na mambo yko! khabari ya adhabu mwachie mungu mwenye kuhukumu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.