Wanaume wapole hawana bahati

Wanaume wapole hawana bahati

Nimesoma mahali eti "in general Men are idi.ots and Women are crazy" so mdada bora utafute balansi tu huo uidyoti umelalia wapi, as for Men.......
 
hilo lipo wazi na wengine wanatafuta mme.mpole lakini pembeni wana rafiki ambaye full vituko
 
Binafsi yangu napenda mwanaume mpole yan sifa zote ulizozitaja ndo type ya mwanaume ninayempenda ila asiwe mpole too much
Kumbe single lady basi mimi mpole,mtulivu,mvumilivu nimesahau nini tena ........mkarimu.
 
Hao wapole wapole wanagubu mbaya na wana mambo ya kichinichini hawana ishu
 
Back
Top Bottom