tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,072
- 16,624
Mambo vip wanaume wenzangu?
Ebu tupeane mawazo kidogo hapa kuhusu tabia{chemistry}za wadada.
Kuna visa viwili kuwahusu wadada wawili ambao nliwatongoza kwa nyakati mbili tofauti,wa kwanza nlipomtokea alikua ndo ana kama miezi mitatu tangu atoke kuachana na mpenzi wake wa awali kwa mujibu wa maelezo yake.
Nikampiga voko zangu akazielewa but akaniambia atanijbu, sasa kila nlvokua namkumbushia ombi langu akawa kama ananikwepa.
Basi siku flani nikamkomalia mwishowe akaniambia tuwe marafiki wa kawaida tu, me nikamwambia nina marafki wengi tu so kama ndo jibu alilopanga kunipa hilo basi me ngoja nijiweke kando nae.
Akawa ananiambia kuwa nisije nikamchunia coz bado anahitaji close r'ship na mimi ila me nkashkilia msimamo wangu maana nilijua labda lengo lake ni kunichuna tu kama ilivyo kawaida ya mabinti wa mjini.
Me sikuangalia nyuma tena nikasepa zangu wala sikumtafutaga tangu wakati ule.
Manzi wa pili alikua ni mtoto wa mkurugenzi wa shirika flani la umma hapa nchini, huyu tulikutana kwenye zile venue maarufu pale udsm za yombo 4 na 5.
Mazingira yaliyotufanya tukajuana ni tulikuwa tunapigana chabo paper ya accounts, hapo ndo ukawa mwanzo wa kujuana.
Basi kama kawa nikampiga sound ye akanambia ana mtu wake,but cha ajabu nkimuomba tutoke out anakubali, nikimbusu anasema asante.
But nikimkumbushia ombi langu anasema tuwe marafiki tu, basi me nikaona nisiendelee kupoteza muda kwake.
Nikamwambia tupotezeane akakubali.
Sasa tangu nipotezeane na hawa viumbe hatukuwah kutafutana, ila siku za hvi karibuni nlipatwa na kiherehere flani cha kuwatafuta kila mmoja kwa wakati wake.
Nikaanza wa kwanza akanambia kwa nilichomfanyia kipindi kile hataki hata kunisikia tena katika maisha yake.
Nikasema poa mama isiwe kesi ya hadi kupelekana the hague nikamchunia, nikamtafuta wa pili nae huyu ndo balaa.
Akaniambia me sijui ni mwanaume wa aina gani mwenye maamuzi ya haraka haraka, mara sijui nilicorrupt her minds then nikamuacha akiwa anahang tu, hivyo nae hataki kunisikia tena katika maisha yake.
Sasa najiuliza, hawa watu wote maombi yangu waliyakataa, me nikaona nisiendelee kupoteza nao muda bora niangalie opportunities zingine.
Leo tena me ndo naonekana mmbaya kwao, au nyie wenzangu situation ya wanawake wa namna hii huaga mnaisolve vipi?
Maana me science ya hawa viumbe inanitoa knock out kabisa?
Ebu tupeane mawazo kidogo hapa kuhusu tabia{chemistry}za wadada.
Kuna visa viwili kuwahusu wadada wawili ambao nliwatongoza kwa nyakati mbili tofauti,wa kwanza nlipomtokea alikua ndo ana kama miezi mitatu tangu atoke kuachana na mpenzi wake wa awali kwa mujibu wa maelezo yake.
Nikampiga voko zangu akazielewa but akaniambia atanijbu, sasa kila nlvokua namkumbushia ombi langu akawa kama ananikwepa.
Basi siku flani nikamkomalia mwishowe akaniambia tuwe marafiki wa kawaida tu, me nikamwambia nina marafki wengi tu so kama ndo jibu alilopanga kunipa hilo basi me ngoja nijiweke kando nae.
Akawa ananiambia kuwa nisije nikamchunia coz bado anahitaji close r'ship na mimi ila me nkashkilia msimamo wangu maana nilijua labda lengo lake ni kunichuna tu kama ilivyo kawaida ya mabinti wa mjini.
Me sikuangalia nyuma tena nikasepa zangu wala sikumtafutaga tangu wakati ule.
Manzi wa pili alikua ni mtoto wa mkurugenzi wa shirika flani la umma hapa nchini, huyu tulikutana kwenye zile venue maarufu pale udsm za yombo 4 na 5.
Mazingira yaliyotufanya tukajuana ni tulikuwa tunapigana chabo paper ya accounts, hapo ndo ukawa mwanzo wa kujuana.
Basi kama kawa nikampiga sound ye akanambia ana mtu wake,but cha ajabu nkimuomba tutoke out anakubali, nikimbusu anasema asante.
But nikimkumbushia ombi langu anasema tuwe marafiki tu, basi me nikaona nisiendelee kupoteza muda kwake.
Nikamwambia tupotezeane akakubali.
Sasa tangu nipotezeane na hawa viumbe hatukuwah kutafutana, ila siku za hvi karibuni nlipatwa na kiherehere flani cha kuwatafuta kila mmoja kwa wakati wake.
Nikaanza wa kwanza akanambia kwa nilichomfanyia kipindi kile hataki hata kunisikia tena katika maisha yake.
Nikasema poa mama isiwe kesi ya hadi kupelekana the hague nikamchunia, nikamtafuta wa pili nae huyu ndo balaa.
Akaniambia me sijui ni mwanaume wa aina gani mwenye maamuzi ya haraka haraka, mara sijui nilicorrupt her minds then nikamuacha akiwa anahang tu, hivyo nae hataki kunisikia tena katika maisha yake.
Sasa najiuliza, hawa watu wote maombi yangu waliyakataa, me nikaona nisiendelee kupoteza nao muda bora niangalie opportunities zingine.
Leo tena me ndo naonekana mmbaya kwao, au nyie wenzangu situation ya wanawake wa namna hii huaga mnaisolve vipi?
Maana me science ya hawa viumbe inanitoa knock out kabisa?