jamii forum hatuandiki kama facebook kwa sababu nyingi hii ni chanzo cha taarifa zinaheshimiwa na kutunzwa ,pia watu na heshima zetu tunatoa michango yetu hichi si kijiwe cha wahuni na watoto.
Kaushauri kangu ndg yangu. Si akuzidi umri miaka 2 tu, hata 8 bado weye una faidi tu. Nilidhani kuwa ungesema kakuzidi 20. Ningekuona umepotea kidogo.
Mwanaume huzeeka haraka zaidi ya
Asante kwa kunipa moyo maana nimempenda kweli
alichokiandika sijakielewa bandugu nielezeni kaandika nini maana naona vifupi vya herufi tu
alichokiandika sijakielewa bandugu nielezeni kaandika nini maana naona vifupi vya herufi tu
18 - 20 Lolest.............
Huyu anaandaliwa kuwa baba wa familia. Taabu kweli kweliHeeeee!!!!! Nikiwa na Toto la kiume kama wewe haki ya nani nauza!!!
Huyu anaandaliwa kuwa baba wa familia. Taabu kweli kweli
Girlfriend wangu ambae mwanzo mahusiano yalikuwa kama utani tu lakn kadr sku zlvyo zd kwenda tuljkuta tukpenda kiukwel na tatzo ni kwamba girlfriend wangu kanizidi umri wa miaka miwili na anataka tuoane nashindwa jinsi ya kukataa.
Hi wanaJF
Naomba ushauri wenu
Girlfriend wangu ambae mwanzo mahusiano yalikuwa kama utani tu lakn kadr sku zlvyo zd kwenda tuljkuta tukpenda kiukwel na tatzo ni kwamba girlfriend wangu kanizidi umri wa miaka miwili na anataka tuoane nashindwa jinsi ya kukataa.
Sijui nifanyeje