Alinitenda, aliniumiza, nataka kumuadhibu

Alinitenda, aliniumiza, nataka kumuadhibu

remember am yr current. so usijishauwe na kupasha kiporo cha makande.

Lols, Gotchu babe.
Didn't know you would pass by here and see this, Ma bad!
Usinitose pliiiiiz.
 
we mwenyewe wakati huo hukuwa tayari kuwa kwenye mahusiano serious na huyo binti, sasa alikuumiza kwa lipi? kama humtaki achana naye
Nyodo nazo zilikuwa za nini? Na kiko wapi leo?
 
Huna sababu ya kumpa adhabu. Desperate times kwake hizi..kula wikiendi na bi mdogo huyo, after all she's a free bird, anatua mti wowote, wikiendi hii kwako..ijayo kwa mwingine...mie ningelamba afu namwambia next weekend gf anakuja so atue mti mwingine.

Wew na waliolike hii status mnasikitisha mwee
 
Kwan lazima watu mkiachana muwe maadui had visasi???personally naona wew ndo una tatizo..maybe na wew hujapata mtu wa kusettle nae...but kama una babe wako na unamfeel.....ex anabaki kuwa ex wala mawazo ya kisasi hutoyapata,,,,.ushauri wangu ziba ufa wako kabla ya kuhangaika kubomoa ukuta wa mwenzio
 
Kwan lazima watu mkiachana muwe maadui had visasi???personally naona wew ndo una tatizo..maybe na wew hujapata mtu wa kusettle nae...but kama una babe wako na unamfeel.....ex anabaki kuwa ex wala mawazo ya kisasi hutoyapata,,,,.ushauri wangu ziba ufa wako kabla ya kuhangaika kubomoa ukuta wa mwenzio
Haipaswi kuyaacha makosa mengine kwenda bila adhabu.
Vinginevyo watu hawatajifunza- Fikiria sana na utakubaliana na mimi.
 
Kwani...kuna tatizo gani mtu akidhani kuwa wewe sio chaguo muafaka kwa sasa, lakini baadae akaona unafaa?! Hukuwa tayari wakati yeye yuko tayari, mkaachana kwa ridhaa za wote wawili, hata kama mioyo iliuma...sasa hivi ameona muda muafaka kurudi...amua moja, unamtaka bado rudianeni..humtaki muambie uachane naye. Adhabu kwa nini alichokosa!? Ni wewe hukuwa tayari...si yeye!
 
Haipaswi kuyaacha makosa mengine kwenda bila adhabu.
Vinginevyo watu hawatajifunza- Fikiria sana na utakubaliana na mimi.

Wew ni nani kumuadhibu mwenzako...tena hio ni one sided story vip unajua na yeye ni yap ulimtendea ukamuumiza???inashangaza jins tunavyojifanya malaika na kuona makosa ya wengine......kama kwel alikuumiza Mungu ndo atadeal nae sio wew
 
hao ndio akina flora mbasha, bro achana naye huyo ni yuleyule usidhanie kuwa amebadilika, ila usimtende mwambie tu arudi alikotoka huna muda naye.
Alitokea kuwa binti mzuri aliyenivutia machoni mwangu.
Tabia na busara zake vilistahili kusifika kwa mujibu wa nilivyomsoma na kumfahamu
ingawa ni kwa muda mfupi (kadiri ya miezi 6 ya uhusiano wetu)

Kifupi alikidhi vigezo vyangu binafsi,
Alistahili kuwa mama mtarajiwa wa watoto wangu wazuri kama tungejaaliwa kuwa pamoja.

Mwenyezi Mungu hamfichi mja wake.
Mbali ya kuwa mtaratibu, mkimya na mwenye kuonyesha kunijaali katika muda mfupi.
Binafsi, nilikuja kung'amua kuwa alikuwa yuko na kimuhemuhe cha kuingia katika ndoa na pengine ndio sababu ya yeye kuwa mnyenyekevu wa aina ile kwangu.

Tofauti na mie, Mimi mishale yangu ya uhusiano bado ilionyesha bado niponipo kamili kwa kipindi kile.
Ilinibidi nimuweke wazi juu ya msimamo wangu, kwa sababu sina hulka ya kucheza na muda wa wengine.

Basi bwana, binti kwa ujinga wake (nadhani) Kwakuwa pengine alikuwa 'desparate' na ndoa akaamua kujivisha Mabomu hivyohivyo.
Liwalo naliwe akiamini kuwa pengine nitabadilika mbele ya safari.
Akajiachia, Mguu-pande mguu sawa, Kanivulia 'Thong' yake.
Nifanyeje? Mzee mzima 'nikajilia' vyangu.

Maisha yakawa yanaenda.
Mimi niliamini muda muafaka ukifika hakika nitamvika Pete ya uchumba kidoleni mwake na mchakato wa kuhamia kambi ya wala 'Tunda kwa idhini rasmi' basi tutafanya hivyo (Nililenga kum-surprise baadae kidogo)

Baada ya miezi sita kupita katika uhusiano wetu, taratiiiiiibu binti akaanza visa vya hapa na pale.
Kwakuwa nilimpenda nilijaribu kumsihi kuwa asiwe mapepe awe na subira kwa kuwa siku zote mazuri hayahitaji pupa.
Hasa, Ukizingatia kuwa kuamua na kulikabili jambo ambalo tungedhamiria kulienendea (Ndoa)
Si la kukurupuka,Tungehitajika kujipanga haswa.

Lakini binti aliona kama vile namchelewesha,
Akaongea mengi sana.
Na hapo ndipo nilipoanza kuyaona kwa kiasi makucha na rangi yake halisi.

Nyodo zenye nakshi ya dharau kwa mbali vilitawala.
Nilijiaminisha kuwa kama hana Mtu anemtia kiburi (Kumshikia akili)
Basi atakuwa kapata bwana mtarajiwa aliemuahidi ndoa.

Mimi sikutaka wala kuhitaji sana marumbano, kwa roho safi niliachia behewa likatike.
Moyoni Iliniuma, na nilisikitika sana lakini sikuwa na jinsi.

Yapata miaka minne sasa. Naweza sema kidonda na maumivu ya uhusiano wangu na binti huyu vilishapona ingawa Naweza kukiri kuwa makovu bado yapo na yananipa kumbukumbu mbaya juu ya uhusiano wangu na binti huyu.

Hata hivyo ni wikimbili tu zilizopita;
Huyu bi dada kaanza mawasiliano mfulizo na mimi mithili ya mvua za masika.
Ni wazi yupo wanguwangu kama vile anataka kurudishia minyororo ya behewa la uhusiano wetu ambalo alilikata yeye mwenyewe kwa mikono yake mwenyewe.

Tumeongea mengi sana Lakini kikubwa kuliko yote.
Eti, Angefurahi kama tunge-spend weekend moja pamoja.
Nilipomuuliza ki-intelijensia kama hana mwanamme, akanijibu kifupi tu eti, "I'm free like a bird and ready to mingle."
Hajui tu anazidi kunitia kichefuchefu.

Nakiri kuwa binti huyu aliniumiza, alinitesa na alinikera
Kwangu mimi anastahili adhabu na si ndogo.

Wakati bado naifikiria adhabu ya kumpa natoa nafasi kwa wanajopo.
Kama kuna mwenye adhabu ambayo anadhani ni stahiki kumpa huyu binti au maoni ya nini nifanye pengine asisite.
kunipa.

NAWASILISHA.
 
kwa experience yangu
hakuna adhabu nzuri kama moving on na kumpuuzia mtu
ukishindwa kumpuuzia inamaanisha utamchukia na kumchukia ina maana yupo akilini kwako like it or not
kama una uwezo wa kukaa nae mbali fanya hivyo
unaeza sema unaenda cha mwisho unajikuta mwenzio kajipanga huchomoki
 
Sasa adhabu umpe kwa lipi, kwanza kwa maelezo yako sijaona hata cha ajabu alichokifanya labda kama kuna mengine umeamua kutoyasema lakini nimeona yaliyotokea kati yenu ni ya kawaida tu, wewe hujawahi kumuacha msichana? au unataka kutuambia huyo ndo alikuwa msichana wako wa kwanza, na kwa miaka 4 pia ulikuwa umekaa tu hujapata mwingine, isitoshe kwenye haya maswala ya mahusiano bwana hivyo ni vitu vya kawaida kabisa hakuna hata geni, mwambie tu kwamba humuhitaji tena basi, manake kwa huo u desperate wake inaelekea amezunguko huko kaashia kuchezewa na kuachwa sasa anataka kurudi kwako kubahatisha tena
 
mkuu apo kuna mawil, kama bdo unampenda ata 2kuambieje uwez kuelewa! xo kwa ufupi kma unampenda nenda mkayajenge upya usubirie yajayo bt kma aumpendi pitapita ivi na mambo yko! khabari ya adhabu mwachie mungu mwenye kuhukumu!
 
ushauri wangu ni huo kwenye picha mambo mengine chanyanga na za kwako

condoms.jpg
 
Huko alikoenda walimwahisha?kama jamaa alimchelewesha?

Mimi ningemtaftia wahuni wenye ugwadu wa kutosha wampige mtungo huku wanamrekodi. Hiyo ndio adhabu ndogo ningemchagulia.

Dah una roho ya kishetani.. Khaa are yu for really??? Kwani kwa kosa gani alilofanya??? Nyie mbona mnaongoza kwa kuwaacha wanawake na wanakubali hali halisi na maisha yanaendelea..
 
Hahaha unatafuta kulipiza kisasi,ulikuwa usomeki:what::what::what:
 
Alitokea kuwa binti mzuri aliyenivutia machoni mwangu.
Tabia na busara zake vilistahili kusifika kwa mujibu wa nilivyomsoma na kumfahamu
ingawa ni kwa muda mfupi (kadiri ya miezi 6 ya uhusiano wetu)

Kifupi alikidhi vigezo vyangu binafsi,
Alistahili kuwa mama mtarajiwa wa watoto wangu wazuri kama tungejaaliwa kuwa pamoja.

Mwenyezi Mungu hamfichi mja wake.
Mbali ya kuwa mtaratibu, mkimya na mwenye kuonyesha kunijaali katika muda mfupi.
Binafsi, nilikuja kung'amua kuwa alikuwa yuko na kimuhemuhe cha kuingia katika ndoa na pengine ndio sababu ya yeye kuwa mnyenyekevu wa aina ile kwangu.

Tofauti na mie, Mimi mishale yangu ya uhusiano bado ilionyesha bado niponipo kamili kwa kipindi kile.
Ilinibidi nimuweke wazi juu ya msimamo wangu, kwa sababu sina hulka ya kucheza na muda wa wengine.

Basi bwana, binti kwa ujinga wake (nadhani) Kwakuwa pengine alikuwa 'desparate' na ndoa akaamua kujivisha Mabomu hivyohivyo.
Liwalo naliwe akiamini kuwa pengine nitabadilika mbele ya safari.
Akajiachia, Mguu-pande mguu sawa, Kanivulia 'Thong' yake.
Nifanyeje? Mzee mzima 'nikajilia' vyangu.

Maisha yakawa yanaenda.
Mimi niliamini muda muafaka ukifika hakika nitamvika Pete ya uchumba kidoleni mwake na mchakato wa kuhamia kambi ya wala 'Tunda kwa idhini rasmi' basi tutafanya hivyo (Nililenga kum-surprise baadae kidogo)

Baada ya miezi sita kupita katika uhusiano wetu, taratiiiiiibu binti akaanza visa vya hapa na pale.
Kwakuwa nilimpenda nilijaribu kumsihi kuwa asiwe mapepe awe na subira kwa kuwa siku zote mazuri hayahitaji pupa.
Hasa, Ukizingatia kuwa kuamua na kulikabili jambo ambalo tungedhamiria kulienendea (Ndoa)
Si la kukurupuka,Tungehitajika kujipanga haswa.

Lakini binti aliona kama vile namchelewesha,
Akaongea mengi sana.
Na hapo ndipo nilipoanza kuyaona kwa kiasi makucha na rangi yake halisi.

Nyodo zenye nakshi ya dharau kwa mbali vilitawala.
Nilijiaminisha kuwa kama hana Mtu anemtia kiburi (Kumshikia akili)
Basi atakuwa kapata bwana mtarajiwa aliemuahidi ndoa.

Mimi sikutaka wala kuhitaji sana marumbano, kwa roho safi niliachia behewa likatike.
Moyoni Iliniuma, na nilisikitika sana lakini sikuwa na jinsi.

Yapata miaka minne sasa. Naweza sema kidonda na maumivu ya uhusiano wangu na binti huyu vilishapona ingawa Naweza kukiri kuwa makovu bado yapo na yananipa kumbukumbu mbaya juu ya uhusiano wangu na binti huyu.

Hata hivyo ni wikimbili tu zilizopita;
Huyu bi dada kaanza mawasiliano mfulizo na mimi mithili ya mvua za masika.
Ni wazi yupo wanguwangu kama vile anataka kurudishia minyororo ya behewa la uhusiano wetu ambalo alilikata yeye mwenyewe kwa mikono yake mwenyewe.

Tumeongea mengi sana Lakini kikubwa kuliko yote.
Eti, Angefurahi kama tunge-spend weekend moja pamoja.
Nilipomuuliza ki-intelijensia kama hana mwanamme, akanijibu kifupi tu eti, "I'm free like a bird and ready to mingle."
Hajui tu anazidi kunitia kichefuchefu.

Nakiri kuwa binti huyu aliniumiza, alinitesa na alinikera
Kwangu mimi anastahili adhabu na si ndogo.

Wakati bado naifikiria adhabu ya kumpa natoa nafasi kwa wanajopo.
Kama kuna mwenye adhabu ambayo anadhani ni stahiki kumpa huyu binti au maoni ya nini nifanye pengine asisite.
kunipa.

NAWASILISHA.

Umpe adhabu mke wako huyo?? Umemgharamia kitu gani hasaaa ambacho wewe kufikia hatua ya kutaka kumlipa kisasi.. Wanaachwa wenye ndoa na maisha yanaendelea..

Nakushauri msamehe na endelea na maisha yako.. Na ukiwa na roho ya kusamehe utafanikiwa sana maishani mwako
 
And may be she might forecasted probability of you being a type of "sperm donor"
 
Kwani...kuna tatizo gani mtu akidhani kuwa wewe sio chaguo muafaka kwa sasa, lakini baadae akaona unafaa?! Hukuwa tayari wakati yeye yuko tayari, mkaachana kwa ridhaa za wote wawili, hata kama mioyo iliuma...sasa hivi ameona muda muafaka kurudi...amua moja, unamtaka bado rudianeni..humtaki muambie uachane naye. Adhabu kwa nini alichokosa!? Ni wewe hukuwa tayari...si yeye!
Dogo kwako laweza kuwa kubwa kwangu na kinyumechake.
Elewa, kuachana si ishu. ishu ni namna mnavyoachana.
Nyodo,kiburi na vijidharau ndio sababu ya maumivu ninayoyakumbuka sasa hisia zangu zinaniambia kuwa bila kumuadhibu itakuwa si mtendei haki yeye na mimi pia.
Naamini anahitaji kupata funzo murua ili asije tena akafanya kosa kama alilolifanya kwangu mbeleni.
 
Back
Top Bottom