Nahisi kama najisumbua

Nahisi kama najisumbua

Kwa hiyo tatizo lako ni lipi? Kuishia form 4 au familia yake?
 
Kama sijaelewa vile....unasema wazazi wake hawakutaki au hawatak uhusiano wenu uendelee??? na kuhusu kidato mbona ni kawaida tu tena kafika kidato cha nne kajitaidi sana wewe kama unampenda komaa nae ila kama unatuletea mada wakati moyo wako uko kwa mwingine ni kazi bure...uamuzi unao wewe.
 
Kama sijaelewa vile....unasema wazazi wake hawakutaki au hawatak uhusiano wenu uendelee??? na kuhusu kidato mbona ni kawaida tu tena kafika kidato cha nne kajitaidi sana wewe kama unampenda komaa nae ila kama unatuletea mada wakati moyo wako uko kwa mwingine ni kazi bure...uamuzi unao wewe.

wazazi wake hawataki kuona uhusiano wetu kaka sasa hofu ipo pindi tutakapotaka kufunga ndoa!!!!
 
Habari zenu wana MMU

Labda niende moja kwa moja, nina mpenzi wangu ambaye kiukweli nampenda na yeye ananipenda ila nina kitu kinanikwaza.

Huyu mwenzangu yeye hana elimu kwani form 4 alipata zero.

Pia amejaribu kurudia ila mambo yale yale, upande wa familia ya kwao ni kaka yake tu anayependa penzi letu ila waliobaki hawataki kisa eti wamemtafutia mchumba kijijini.

Sipendi kuonekana nimemchezea na kutoka moyoni nampenda kweli, nishaurini je, nikomae na hali hii au nitafute usawa mwingine.

Ziro inahusu nin kwenye hili??

Unataka tukushauri ili afaulu au tukushauri penz liendelee...
 
hutaki kuonekana kama vile una mchezea, ila ukweli unamchezea....!
 
kaka God..! umesema mwenyewe anakupenda, anakuheshimu na anakusikiliza, mapenz ni ya wawil, ukute hata kwenu si wote wanaompenda lakn wewe mwenyewe unampenda

kama wazazi lazma watie mbwembwe sana ukute wanawasiwasi na muonekano wako lakn hawajui moyo wako, nijuavyo mimi mahusiano mengi yanachangamoto zake kama si mwanzon basi mwishon kikubwa yeye anakupenda tena na kaka yake anamsupport bado mko vzur, ila kama ushawaona wasio na zero ndo unaanza kuiona zero yake na kugundua wazaz hawakupend hiyo ni kes nyingine sasa
 
kaka kama umependa songa naye usje sku ukamkuta kangara ukaanza kutaka kukumbushia enz
 
Huyu mwenzangu yeye hana elimu kwani form 4 alipata zero.

Hebu acha kuumiza vichwa vyetu we kijana kufikiria namna ya kukushauri...

Kwani wakati unaanza kumpenda huyo binti hukujua kama ana elimu ya kidato cha nne na hakufaulu pia??

upande wa familia ya kwao ni kaka yake tu anayependa penzi letu ila waliobaki hawataki kisa eti wamemtafutia mchumba kijijini.

Ni kweli lazima wawe na wasiwasi kwa kuwa wewe ndio kwanza umejiunga na elimu ya chuo kikuu...

Haya mambo ya mapenzi yaache kwa sasa, soma shule yako hapo UDOM umalize maana elimu ndio urithi wako mwema...

Sipendi kuonekana nimemchezea na kutoka moyoni nampenda kweli, nishaurini je, nikomae na hali hii au nitafute usawa mwingine.

Halafu acha kujikosha kuwa huna kawaida ya kuchezea wanawake...

Mbona huyu katika hii sredi hapa chini ulionekana kama unataka kumchezea?

4 Septemba 2013

https://www.jamiiforums.com/mahusia...nipeni-darasa-kidogo-nimepagawa-mwenzenu.html

kipindi kifup nilichokuwa nasubiri matokeo nimejikuta najenga uhusiano na binti m1 ila simuelewi mwenzenu!!!!

aliniambia hajawah kukutana kimwili ila cku ya kwanza kumgegeda alilia sana na kuniambia anaumia hadi tumboni cha ajabu hakutokwa na damu!!!!
anaishi na mjomba wake ila hana mke na kasema alishatongozwa na huyo jamaa ila alimkatalia nahis kuongopewa, amekwenda mwenyew kujitambulisha kwa wazaz wangu.......

nafikiria kumwacha but had ss nimemgegeda mara 12
nipeni darasa nimwache au!!!!
 
Hapo mkuu kuna issue 2 jaribu kuz'analyse.
1. Wazazi wake hawakutaki, hilo ni tatizo kubwa, huyo ni mtoto wa watu, ukae nae siku likitokea tatizo huna pa kuanzia, namaanisha huwezi kupata ushirikiano mzuri toka kwao.
2. Zero pia ni shidaaah, uelewa wake mdogo sana, ndio maana umesema anakusikiliza wewe tu, hana agguememet. Nina uzoefu na hayo masuala. Nilioa mwanamke mwenye zero, ni sheeeedaah!
 
Ki ukwel hapo uliposema tu form four kapata zero ndipo ulipoharibu na tatzo sio ndugu zake naona wewe ndio tatzo

bora wakamtaftie wa kijijin asiekua na habar za dvishen zerroooo
 
Tunao oa/kuolewa kwaajili ya familia zetu.

Hivi kama ni kwenu wangekuwa wana mkataa huyo binti ungefanya nini?

Ukweli ni kwamba kwakuwa tunaoa/kuolewa kwaajili ya familia zetu huyo binti hamtodumu wala huto muoa labda uhakikishe familia yake ina kukubali.

Sio kwamba wamemtafutia mchumba kijijini bali kuna sababu zaidi ya hiyo Fanya uchunguzi.
 
We unafikiri ni kwanini wazazi hawakupendi?? Au mwambie dada adadisi ni kwann?? Halafu kama ni tatizo la kuweza kutatuliwa basi unatafuta wazee wa mitaa au rafiki wa karibu wa mzee waongee naye...
Mbona mambo haya yashapitwa na wakati,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom