Recent content by Box tupo

  1. Box tupo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jamani Ni cash out ao niache kwanza
  2. Box tupo

    Nifanye nini kupata ukimbizi wa kisiasa katika nchi hizi?

    Hiyo njia ya kwanza uliompa sio rahisi Bora atafute njia nyingine , Kila kitu UNHCR imesha weka kwenye data base kwa mkimbizi mpya kupewa hifadhi ya kwenda nchi ya Tatu (resentlement) ni kazi kweli kweli anaweza kupoteza ma millioni za pesa na aka kosa kupata resentlement
  3. Box tupo

    GE2020 Watanzania sio wajinga, hawatachagua chama ambacho wafuasi, viongozi na wanachama wake sio wazalendo

    Tatizo sio hivo mnatakiwa kuyapongeza mazuri ambayo serikali ilifanya na kutoa ushauri kwa mapungufu ya serikali. Sio kutukana tu na kupinga kuwa serikali haijafanya kitu.
  4. Box tupo

    Viwanda tengenezeni pampasi za watu wazima maalumu tukiwa safarini, wagonjwa na wazee

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]noma Sana hiyo
  5. Box tupo

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Umri :32 Elimu: diploma Kazi:Sina Uraia :DR.congo Jinsia: m Dini : mkristo Mlengwa Umri: 16-25 Elimu: yeyote Ile Dini: mkristo Asiwe single mother. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Box tupo

    Mapenzi ya wanawake watu wazima ni matamu sana

    Nilikuwa naye mwaka 2018 lakini ameenda USA huko ,hakika napata shida kwa Hawa grade D. Umenikumbusha mbali kwenye huu Uzi wako Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Box tupo

    Takwimu: Mtu mwenye umri wa chini ya miaka 50 kufa kwa Corona ni sawa na jogoo kutaga mayai, sasa kwanini tunapanic?

    Waambie vizuri hao wakuelewe ,huyo kocha wa Spain alikuwa anaumwa kansa ya damu . Ugonjwa wenyewe Ni mafua tu unazidiwa nguvu na maleria Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Box tupo

    Ipi ni App yako bora ya kutazama mpira

    Burma tv Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Box tupo

    Wadau nadaiwa na M-Pawa Tsh 65,000, kila mara wananitumia sms za vitisho

    Wadau nadaiwa na m-pawa Tsh 65,000. Kila mara wananitumia sms za vitisho na kuniambia kuniambia kuwa watanichukulia hatua za kisheria. Cha kushangaza laini yenyewe imefungiwa sababu sina namba ya NIDA. Je kuna njia nyingine ya kuweza kurudisha huu mkopo wao? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Box tupo

    Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

    Usisaha kunitag Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Box tupo

    Nahisi mke wangu anampenda mpangaji mwenzangu ambaye ni bachela

    Tayari jamaa amesha Kula mzigo huyo Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Box tupo

    Nipo uliza maswali kuhusu website nitakujibu 100%

    Ninataka kuwa na website nitafanya je ili niwe nayo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom