Nawaambiaga watu mpasheni ukitambaa hata kwenye mwembe unaozaa vizuri imekula kwako...sitaki kuusikia huu mti bora ninunue sokoni..nafikiria mpango wakuupanda eneo la peke yake .
Watu wa SUA mtusaidie why miti ife ikitokea mipasheni imetambaa?
Msala wangu ulikuwa sio wa chupi 🤣
Kipindi hiko chuoni kuna demu tuliendana na kupendana balaa nilimpa hadi funguo moja na mwingine alikuwa ndio kabisa pika pakua ...sasa birthady yangu moja tuliendana aliniletea zawadi ya pair za sock kaweka kitandani pale mimi sijui. Pika pakua nae nimeenda...
Kiasi mkuu...maana pombe ipo ila hela ikitoka mwenye baa harudishi 🤣🤣
Kama inabidi punguza kabisa uwe unakunywa kwa machale zaidi.
Maamuzi tu mbona utashinda hilo jaribu 🤣😊
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.