Recent content by bonjov

  1. bonjov

    JamiiForums Tanzania Tunauza coil za mabati(mpya/rejects), mabati scraps

    Nasubiria ajibu pia, kina taarifa nazitafuta kidogo hapa naweza pata mwanga mkuu.
  2. bonjov

    JamiiForums Tanzania Tunauza coil za mabati(mpya/rejects), mabati scraps

    Hizo price ni kwa 1 meter despite width?
  3. bonjov

    JamiiForums Tanzania Kama maisha yako hayasomeki usifikirie kabisa kufuga mbwa aina ya Belgian Malinois

    Sawa unashukuru! Nikutafutie Ki Puppy chake ukihug hug ila baadae usimwite popi popii akiwa mkubwa 😄 (Joking)
  4. bonjov

    JamiiForums Tanzania Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

    🤣🤣 Nimecheka balaa..sometime wanaume sisi tutakutana na 'umbua' kama hii lazima ukimbie
  5. bonjov

    JamiiForums Tanzania Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

    We ulisema 'ukibeberu' ndo uanaume wewe...unataka nini sasa toka kwetu, pesa na ubeberu iz iqo uvumilivu wenu 🤣
  6. bonjov

    JamiiForums Tanzania Hivi Mtoto wa kike ukiulizwa na Mwanaume anaekutaka hili swali "Niambie kuhusu wewe" huwa mnajibu nini?

    Kwamba toa kwanza, when comes to money "men first" 😅 All in All kiingilio toka kwetu lazima hata kiwe cha kuosha na steaming 'afu' 3000 😄
  7. bonjov

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake ni shida sana

    Naona umempasha mwanetu, kuna wamaza wengine wanajua akianza kutoa vidonge lazima apate shekeli😅
  8. bonjov

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake ni shida sana

    Bwashee Vip tena? Mbona jina lako lina rangi ya hatari 😅 Sikuwepo humu umefanya fujo gani tena, umetingisha meza ya visungura 🤣🤣
  9. bonjov

    JamiiForums Tanzania Usimruhusu mkeo apost insta picha zake wala aende Gym

    Ngoja ni-like toka uzi wako wa mwanzo humu useme hiiiiiiiiiii tena 🤣🤣
  10. bonjov

    JamiiForums Tanzania Mbunge Sigrada: Kufeli Shule ya Sheria ni mkakati wa kisiasa wa kutokuzalisha mawakili wengi

    Baada ya kuona alichopost niliona huyu mzee wa "I heard that" 😅
  11. bonjov

    JamiiForums Tanzania Mabroo hatutoi connection, dogo usizubae stuka!

    🌙shiner vip tena 😄 Wanajaribu kutikisa meza ilihali una uwezo wa kiweka oda "upuya" in 🍻 voice 🤣🤣
  12. bonjov

    JamiiForums Tanzania Nina maumivu makali mno ya jino

    Pole mkuu, jino likichamamaa ni balaa..mimi niling'oa ingawa niliwahi ziba mara mbili ..mara mwisho nilimwambia Dentist litoe tu.
  13. bonjov

    JamiiForums Tanzania Bajeti mpya itawaumiza watakao agiza magari ya engine (ICE) ila imewapendelea watakao agiza magari ya umeme (EV)

    Hayatokuwa juu muda wote kaka... Kuna kipindi nilimiss harufu la diesel barabarani, nilipita njia ya malori mengi niisikie toka kwa HOwO na Scania 🤣🤣
  14. bonjov

    JamiiForums Tanzania Bajeti mpya itawaumiza watakao agiza magari ya engine (ICE) ila imewapendelea watakao agiza magari ya umeme (EV)

    Sawa, wewe speculations zako unaona mwitikio utakuwa mkubwa considering all those you states?
  15. bonjov

    JamiiForums Tanzania Uko sahihi 100% Dada na nimefurahi sana hapo uliposema huwi Malaya na huvuti Bangi

    Ngoja nikachore tattoo ya wino mweupe niwe chakaramu halafu nijizime data, jiandae nakuletea maua 🤣🤣
Back
Top Bottom