Recent content by bonjov

  1. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    We bwana bugia tu tu chochote...hadi embe ng'ong'o 🤣
  2. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Kutoa ushauri "santaimu" jau sana 😅 unajipindaa na mwandikoo halafu ndio haya 🤣
  3. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Halafu napita na confetti mbele yako 🤣🤣
  4. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Aseee...umenifanya ni smile kabla usingizi haujaniteka. You look "Wunderbar"
  5. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Wewe lazima ngozi yako iwake 😄 jua hulisikii sana 🤣 na vijasho vya tone tone vilee 😅
  6. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Hahaa...hauwi baunsa bana...ila zingatia menu asee ndio uchawi ulipo asikudanganye mtu.
  7. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Humo humo...ziwe na suede material pia hehee grey, brown, black
  8. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Nakuja kukutesa ngoja nitakupa code 🤣 Halafu mchawi mwingine menu ujue
  9. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Ewaaa na zile zina fupi pia wacha kabisa...na mwendo ukiwepo aaah nang'oa moyo nakupa unihifadhie 😄
  10. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Mpka ufike 68 nitakutesa sana 😅
  11. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Aaah wewee 🤣 ulishaniotea offiside bana
  12. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Kuna boots fulani hivii za kike zile hatari...ila sio sole za Dr Martens 😃
  13. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Aaah afadhali kumbe mbio za ku search ...ngoja nikutibue one day 🤣
  14. bonjov

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Mnanikosha nikiona mwanamke mchuchumio kwa mguu...muna-walk with confidence ☺️
  15. bonjov

    JamiiForums Tanzania Butiku: CHADEMA wanafadhiliwa wala sio siri

    Hii clip nilivyosikia neno "lakini, lakini" nikaishia hapo 😂
Back
Top Bottom