Recent content by bonjov

  1. bonjov

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Nawaambiaga watu mpasheni ukitambaa hata kwenye mwembe unaozaa vizuri imekula kwako...sitaki kuusikia huu mti bora ninunue sokoni..nafikiria mpango wakuupanda eneo la peke yake . Watu wa SUA mtusaidie why miti ife ikitokea mipasheni imetambaa?
  2. bonjov

    Fikiria: Mkeo anafanya usafi, anasogeza kochi, ghafla anakutana na chupi ya kike ambayo haijawahi kuonekana

    Napata picha tunguli zako ziwe kwa jirani (shoga wake) halafu mkeo anazijua 🤣
  3. bonjov

    Fikiria: Mkeo anafanya usafi, anasogeza kochi, ghafla anakutana na chupi ya kike ambayo haijawahi kuonekana

    Msala wangu ulikuwa sio wa chupi 🤣 Kipindi hiko chuoni kuna demu tuliendana na kupendana balaa nilimpa hadi funguo moja na mwingine alikuwa ndio kabisa pika pakua ...sasa birthady yangu moja tuliendana aliniletea zawadi ya pair za sock kaweka kitandani pale mimi sijui. Pika pakua nae nimeenda...
  4. bonjov

    Kitu gani kinamsisimua mwanamke

    Nakuona upo ukurasa wa front kabisa Hujambo 😊
  5. bonjov

    Chanzo cha mvua za radi Dar es Salaam na Pwani

    Mkuu cheche kivipi mkuu eeh 😄 Ina maana kondoo wenu pembe zao zina material gani hebu tuongoze kidogo
  6. bonjov

    Mchengerwa Ashinda Tuzo Ya Mbunge Bora Afrika Na Carribean

    Bila huruma unaletewa pembejeo zilizobadilishwa expire date aka nusu kaputi 🤣
  7. bonjov

    Masauni: Mpango kukijanisha nchi upo mbioni

    🤣🤣 Kwamba Jikoni mwenyewe, mhudumu mwenyewe na bill tayari...ikizidi unazima kwenye kochi saaafi no pressure utafikaje home 🤣🤣
  8. bonjov

    Masauni: Mpango kukijanisha nchi upo mbioni

    Aah home tena kreti unalipapasa pembeni ya kochi ...unazipiga nyingi inaonekana. Vita ngumu hiyo mzigo bill tayari 🤣
  9. bonjov

    Masauni: Mpango kukijanisha nchi upo mbioni

    Kiasi mkuu...maana pombe ipo ila hela ikitoka mwenye baa harudishi 🤣🤣 Kama inabidi punguza kabisa uwe unakunywa kwa machale zaidi. Maamuzi tu mbona utashinda hilo jaribu 🤣😊
  10. bonjov

    Masauni: Mpango kukijanisha nchi upo mbioni

    Mjomba nimecheka balaa karibu nipaliwe na msosi 🤣🤣 Unaogopa one way 🎫 🎟️ 🤣🤣
  11. bonjov

    Masauni: Mpango kukijanisha nchi upo mbioni

    Nataka kijiwe safi nikisajili, waje wavaa suti wapige moonshine, "vingereza viwe og from first sip" 🤣🤣
  12. bonjov

    Mchengerwa Ashinda Tuzo Ya Mbunge Bora Afrika Na Carribean

    Ndio maana yake inaonekana "group admins" wanajipanga hata wakiwa hawana clean sheet
  13. bonjov

    Masauni: Mpango kukijanisha nchi upo mbioni

    Nataka niutafute ule mtambo nimeuona mahala kwa Trump Million kama 5 za kibongo, ngoma inatoka clean kabisa hata Seran atakunywa 🤣🤣
  14. bonjov

    Masauni: Mpango kukijanisha nchi upo mbioni

    min -me Mzee wa moonshine nakuona umeacha alama hapo 😀 Mzima mkuu
  15. bonjov

    Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Nawaza "kompasi" lako lilijaa nyembe na sindano, ulikuwa unatembea na ghala la silaha 🤣
Back
Top Bottom