kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,794
- 20,735
Bwashee twenzetu ..... umenisanua
Noma bwasheeNawaelekeza vilaza
Dakawa to madizini ni km41.6 mkuuHapana ipi?
Hapo sawaYeah kwa boda ni 8000 tu
Kidudwe naifahamu mpaka nyumbani Kwa Amosi Makala. Nina shamba la mpunga kidudwe Hela 35Yeah , kidudwe nimenunua viwanja vya kutosha na sasa najenga hospital hapo kidudwe , una wasiwasi na mimi?
Night shiftNi ghetto bwashee najiandaa kwenda job
God Damn It....Mungu alaani.Hilo neno gadammit lina maanagan mbona linatrend?
Mkuu sisi wazee hatuhusiki na hiyo fursa?Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa ( dakawa).
Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .
Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.
Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.
🌙shiner vip tena 😄Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa ( dakawa).
Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .
Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.
Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.