Mkuu tatizo upo daah huku villa kuna dawa ya kienyeji unapona kabisa cozi inafanana na sensitivity toothpaste ila ni ya majani na miziziJino linaniuma mno
Sitaki kung'oa maana nishangoa Moja naogopa mapendo.
Mwenye dawa ya dharula ya jino bila kung'oa aniekezee
Nahitaji uamuzi wa kung'oa kuziba au kung'oa uwe wa mwisho baada ya kila njia kushindikanq
Mbona dawa tatu haipoHizo hapo nimechukua tayari
View attachment 3611874
Hakuna namna.Dawa ya jino ni kung'oa tu mkuu